Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

We didn't play well today we were lucky when Sanchez got red la sihivyo mambo yangekuwa magumu zaidi
Kabisa ndugu aafu hivi ile njano ya kwanza ya Sanchez ni red maana nilijua Thiago ndio basi tena, yule Sanchez jana alikua wa kutoka tu hakuna namna.

Salute kwa Inzaghi aliwaada vyema wachezaji wake.

YNWA
 
Wazee mmefungwa jana, Liverpool huwa kibonde sana kwa timu za Serie A, No wonder Napoli aliwafunga anavyotaka, cant wait Liverpool vs Juventus.
 
Game ilikuwa tight ila inter walikuwa na bahati zaidi...maana mipira imegonga post mara tatu vinginevyo wangelala mapema tu....hatupo vibaya sana kiasi cha kuanza kutoa lugha za kwamba hatuwezi kubeba chochote.vijana wanapambana sana uwanjani lazima tuwe na maneno ya kutokatishana tamaaa wakat timu bado ipo kwenye mashindano yote makubwa hadi kufikia march.
Kama utakua umeangalia mechi ya Chelsea Carabao , Norwich, West Ham na Inter mechi zote bila shaka utakua umeona vijana ni kama wana kauchovu na vile sio machini inakumbalika, cha msingi Klopp na jopo lake wayafanyie kazi madhaifu yale maana bado tuna gemu kama 15+ endapo tutasonga mbele mashindano yote.

Screenshot_20220309_100400.jpg


Hii 👆 ndio shinda inayotusumbua kwa sasa mapema vijana waji sort tutakua salama.

YNWA
 
Its' football, Liverpool ipo capable kumchapa yeyote ktk world club level, pasi na shaka. Game ya jana tu, isiwe tathmini pekee ya kubezwa ktk uwezo wa Liveprool.
You were tactically outclassed, binafsi naonaga Serie A is the best tactical league.
 
Definitely ile ni nyekudu any day na alivyotoka tu hio man marking yao ikiashia hukooooo na jamaa mbinu zikakata wakapambane watetete Serie A yao.

YNWA
Si kweli mkuu, Intermilan was the better side, nimeona jana liverpool akishindwa kuplay out hata walipojaribu kwenda long still intermilan walikuwa na superior structure kwenye counterpressing ndio maana walikuwa wanawin sana second balls, ukiangaalia hata goli walilofunga ilikuwa ni transition na Liverpool huwa hawachezi vile credit kwa pressing structure ya Intermilan iliwanyima uhuru sana tena ndani ya Anfield, Inzaghi is genius.
 
Wazee mmefungwa jana, Liverpool huwa kibonde sana kwa timu za Serie A, No wonder Napoli aliwafunga anavyotaka, cant wait Liverpool vs Juventus.
Liverpool ametesa sana timu z italy

Labda kama mpira umeanza kuangalia jana

Hakuna timu ya italy lwenye ucl ambayo hatujaitesa

Napoli tulimla kote na one game alikula mkono, AC Milan kote, inter katika five games za mwisho wameshinda mbili, Roma walilia

Vijana mpira huwa mnaangalia na kuusoma au perepete tu?
 
Si kweli mkuu, Intermilan was the better side, nimeona jana liverpool akishindwa kuplay out hata walipojaribu kwenda long still intermilan walikuwa na superior structure kwenye counterpressing ndio maana walikuwa wanawin sana second balls, ukiangaalia hata goli walilofunga ilikuwa ni transition na Liverpool huwa hawachezi vile credit kwa pressing structure ya Intermilan iliwanyima uhuru sana tena ndani ya Anfield, Inzaghi is genius.
Can't say otherwise Inzaghi did his homework really well, stop the sides(Robbo n Trent) and we are toothless.
Whats more worrying hatukua na plan B to navigate through.
Ile kadi ya pili ya Sanchez was crucial to us otherwise not a good night and Klopp was honest we lost the balls in very bad situation and we did not win the second ball as expected.

Liverpool superior system is winning the second ball and immediately we attack lakini jana passes were being blocked, poor crossing yaaani we didn't click.

Otherwise at times in football even luck counts, we were unlucky to hit the post.

YNWA
 
Can't say otherwise Inzaghi did his homework really well, stop the sides(Robbo n Trent) and we are toothless.
Whats more worrying hatukua na plan B to navigate through.
Ile kadi ya pili ya Sanchez was crucial to us otherwise not a good night and Klopp was honest we lost the balls in very bad situation and we did not win the second ball as expected.

Liverpool superior system is winning the second ball and immediately we attack lakini jana passes were being blocked, poor crossing yaaani we didn't click.

Otherwise at times in football even luck counts, we were unlucky to hit the post.

YNWA
Tusisahau we did hit goal posts three times
 
Iyo Napoli unayoongelea ni Napoli ya Mwaka gani maana kama unaongelea ile ya Anceloti walishinda Naples sisi tukashinda Anfield sasa ukibonde unakuja wapi hapo
Wazee mmefungwa jana, Liverpool huwa kibonde sana kwa timu za Serie A, No wonder Napoli aliwafunga anavyotaka, cant wait Liverpool vs Juventus.
 
Tusisahau we did hit goal posts three times
We were unlucky jana with converting the chances we had. But again ni mpira ulivyo sometimes yes sometimes no.

For the players dwelling too much with this concluded affair ain't helping rather than Klopp and his boys finding the right rhythm to push till the end.

Sometimes in football luck is the answer man. We were lucky vs West Ham unakumbuka Lanzini missed a sitter but we came on top.

Jana red card iliwavuruga sana Inter Milan man marking ilikua too late kwao waje na mfumo mwingine so that is that sometimes some disappointment turns to be blessing meaning i will take Inter loss with open arms having qualified via beating them kwao better lose to Inter rather than losing in EPL where there is no margin for error if we are to nab the elusive 20th trophy , boys will be defined how they face Brighton and come on top.

Game on.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom