Alooo
Matip weee
EwaaaaaaView attachment 2129059
Ameokoa janga la Allison na sasa amefunga goli safiii. Ni usiku wake huu.
YNWA
E bwana eeeehhhhhh😍🔥🔥🔥🔥🔥La pili huko....View attachment 2129032
No way😍🙌🙌🙌🙌View attachment 2129059
Ameokoa janga la Allison na sasa amefunga goli safiii. Ni usiku wake huu.
YNWA
Umeona. Yaaani ukiwa na kikosi kipana hakuna mchezaji anaetaka asugue benchi ile false 9 kaicheza vizuri sana.Mane false 9 ameipiga fresh kuna saa alikua anacheza kama middle 8 anashuka kuchukia ngoma kwa kina matip
Tazama mechi bhana uone alivyocheza vipoa sana jana.Alooo
Ngoja niicheck hii mechi leo vizurii kabisa nikiwa sina wenge la usingizi🤗
Matip jamani Matip🥰🙌🙌🙌🙌
Amejua kunipa raha mimi.
Yaani Matip jamani😍😍😍😍😍😍Tazama mechi bhana uone alivyocheza vipoa sana jana.
YNWA
Our Maneeee🤗🤗🤗🤗View attachment 2129382
Crazy how this boy is sometimes underrated.
Yaaani ile false 9 ni typical ile ya Firmino kabisa.
YNWA
Nikimuonaga huyu mwamba najua goli letu lipo salama
Ndio tunacheza na Chelsea eeh?View attachment 2129389
Next mission.
Hatuna injury mpya na pengine upo uwezekano Jota akacheza kiasi Jumapili.
YNWA