Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,584
- 235,438
Kwanini useme asingedaka?Penalt ni kama kucheza kamali vile, why nasema hivyo stats zinambeba kepa kwenye pena kuliko mendy,
Refer super cup vs villareal,
Carabao cup vs southampton n aston villa zote hizi kepa ndio aliamua
It happens penalt hazina mwenyewe even John Terry aliwah miss penalt muhim kuliko hata ya kepa
Hiv vitu huwa vinatokea, na hakuna guarantee kwmba mendy angedaka hata penalt moja
Angedaka mendy then asingedaka hata moja tungerufi kusema why hakumuweka kepa wakat kepa ni mzuri kwenye penalt
Siku zote bahat huwa haiko upande wako, jana tulikuwa hatuna bahati tu
Hahaha Matip jamani kwa kweli unamkumbali sana.Tuweke utani pembeni,ile body ya matip jamani acheni tu🙌
Sijui majeruhi inatoka wapi aisee
Mwamba yupo strong mno,hatari na nusu
Jamaa ni mwamba sanaHahaha Matip jamani kwa kweli unamkumbali sana.
YNWA
Asanteeeeee....Ongera liva
Where are you my friend ollaChuga..mpira wa maneno ndio unakujaga kuwaponza.
Subiri jumapili tuwafunge midomo nyie kuku.
Kwamba ninyi ni nani mubebe EFL,FA,EPL na UEFA hahahahahaha ..munaleta ushabiki maandazi kisa viushindi vyenu viwili vitatu[emoji23][emoji23][emoji23]
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Jamaa hajafikisha hata game 10 tayari ana kikombe kimoja.
Jana kulikuwa hakuna sababu ya Tuchel kufanya sub ya kipa. Ukizingatia mendi alikuwa na Spirit since mwanzo wa mchezo. Akaingixa Kepa aliyekuwa na wenge. TT jana kavurugwa but ndiyo mchezo
Boss wetu ameshajitoa so hii haitatukutaHii issue kwa inavyoanza unaweza kuwatembelea na Chelsea wasipokuwa Makini.