King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,461
- 7,456
FT
Kocha bora ni yule hujua mapungufu yalipo ama wachezaji waliochemka na kufanya sub chap mapema sana kuweka mipango sawa.Goli la Norwich limemchangamsha klopp mapema afanye sub pale kati maana palikuwa hapajatulia aisee
Kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787], kapoteza mipira mingi sana all in all Salah na Diaz wamefunga mimi ninaamani.Baada ya kuingia Thiago kila kitu kimekamilika! Yani OX dakika zote alizocheza alikuwa Mzururaji tu humu uwanjani.
Duuh Aston Villa ya Steve G upepo umekata.
YNWA
Aaron Arsenal na DullyJr njooni mmchukue huyu dogo Ox anawafaa.We have to sell OX in the summer ,turns 29 soon and just not good enough ,he's not good enough long - terms.
Sana aisee...Tsimikas kakichafua balaa
Sana aisee...Tsimikas kakichafua balaa
We have to sell OX in the summer ,turns 29 soon and just not good enough ,he's not good enough long - terms.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu atawafaa kabisaaa