Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Subiri tumalizane Kwanza na CWC halafu turudi kuchukua nafasi yetu pendwa. Kwa Sasa endelea kutamba tu😀😀

CFC💙💙💙
Usiwachukulie powa wale wa Brazil wewe haya.

Hahaha na kweli nafasi yako ni ile ya Manchester City unao Werner, Lukaku, Kai nk hapo ndio panakustahili japo ndotoni sasa😂😂😂...

Utulie pambana ubakie Big 4.

YNWA
 
Hahaha Matip wako naona namba kashaimiliki mazima sasa.... Julian anazidi kukuvuta zaidi kuwatazama ma HB wako wakifanya yaoo...

Asante Mkuu. Pamoja sana. Am humbled.

YNWA
Aisee yaani maHb halafu na mpira wanajua..
Hapo sijamtaja Fabinho,,huku VVD ,
Kajota nako kahb kiaina🥰
Mungu wetu fundi sana jamani🥰

YNWA
 
Hii mechi tusingekuwa kuwa full mkoko wangetupiga tena maana walikuwa wagumu.

Mkuu nikumbushe timu ambayo ilitufunga nje ndani hapo kwenye Epl kwa hivi karibuni.

Hata Leo nilikuwa najua tu tutashinda maana hatufungwagi mara mbili kwenye ligi sisi yaani tufungwe nyumbani na ugenini?.

Westham na wenyewe tutawafanya kitu mbaya pale anfield maana atufungwagi nyumbani na ugenini.
Duuh sikumbuki tukipigwa nyumbani na ugenini.

Westham aje nae tupate revenge yetu.

Rodgers jana alifeli alikopi na ku paste kwambe nyumbani kwao alitumia mark shift defense akapata matokeo basi akadhani na jana itakua vile vile. Na jana tofauti na ile mechi ya kwanza mabeki alikua nao wazima wa afya.

Jana walifizia kaunta wapate goli moja warudi nyuma kulinda.

YNWA
 
Na umri wake sasa miaka 23 imagine ina miaka mingiiii sana kutuletea hii burudani yaaaaani...

Huyu TAA nina uhakika atavuja rekodi za Daniel Alves creator in chief haha

YNWA
Umri unamruhusu
Anao muda wa kufanya makubwa...
Ka 98 lakini kanacharanga kona hako acha kabisa!

Sema kameniboa na style yake ya sasa ya nywele.
 
Aside from numbers(Jota in this case) that Joao is something else though
Football is a game of numbers bro... At some cases we forego the stat like for Henderson but for the front guys numbers do matter, either score create, win ball higher up the pitch nk....

Joao pale alipo panambana unajua vyema kocha wake hatabiriki kabisa kwa mfano mechi ya last wekedi dogo alianzishwa na Surez pale mbele na Surez influence kwenye gemu kama ile ngumu sana sababu Barcelona makinda wengi hivyo hana hio pace hata wakiwa kwenye kaunta. Ingekua powa Joao angeanza na Correa wote amsha amsha. Ili tuone ubora wake maana dogo kipaji itakua jambo njema asepe zake.

YNWA
 
Halafu eti kuna watu hawaishabikii liver ila wapo timu za ajabu ajabu kama man u.
Hahaha Mkuu Liverpool ni class haha... Sababu ni nyingi pia wakati Ligi ya EPL inanaza kuonyeshwa bongo timu zilizokua kwenye fire ni Manchester United, Arsenal wakaja Chelsea baada ya Roman kutua...

Kwa sasa Mkuu tunajizolea mashabiki wengi tu baada ya kumpata Klopp.

Mashabiki wa Manchester United hata vibanda umiza walishakimbia maana hata Watford anajichapia tu tena nyingi tu.

Wa Arsenal bado wapo kwenye laiti track kujenga upya kikosi baada ya kosea kosea za madirisha kadhaa ya ununuzi..

Liverpool kwa sasa ni kama Bugatti hahaha envy of many..

Screenshot_20220205_143841_com.quora.android_edit_194542390271355.jpg

YNWA
 
Mane ni best player lakini ajiangalie sana mbele ya Luis Diaz atakuja kumueka Bench ashangae.
Tazama numbers za Diaz Crosses, Passes and Shots utaona yupo mbali sana na Mane.

Amuangalie Bobby alivyotupwa nje ya Fence na Jota.
Mkuu hii imekaa powa sana yaaani sasa angalau depth inaanza kuonekana...

Tsimikas ame mpush Robertson kufika levo ya sasa baada ya kipindi fulani alionekana kama amechoka hivi lakini mwenyewe anakiri depth ya kikosi inamfanya kuzidi kua bora...

Diaz kaja wakati mwema sana maana Mane kwa mbali umaliziaji umeshuka hivyo sasa zile kosa kosa sasa atazidi kujiweka pazuri kufunga na anarudi na ma confidence kama yote baada ya kupata kombe lake bora kuliko yote Afcon amefurahi sanaaaa. Tutegemee mambo mazuri kutoka kwake...

Fast forward Bowen anakuja kumpush Salah to the next level...

Jota ni mfano bora kabisa kwamba depth ya kikosi haikwepeki...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom