Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha Mkuu Liverpool ni class haha... Sababu ni nyingi pia wakati Ligi ya EPL inanaza kuonyeshwa bongo timu zilizokua kwenye fire ni Manchester United, Arsenal wakaja Chelsea baada ya Roman kutua...

Kwa sasa Mkuu tunajizolea mashabiki wengi tu baada ya kumpata Klopp.

Mashabiki wa Manchester United hata vibanda umiza walishakimbia maana hata Watford anajichapia tu tena nyingi tu.

Wa Arsenal bado wapo kwenye laiti track kujenga upya kikosi baada ya kosea kosea za madirisha kadhaa ya ununuzi..

Liverpool kwa sasa ni kama Bugatti hahaha envy of many..

View attachment 2115709
YNWA
Ewaaa liver baba lao..



Tuendelee sasa mkuu na zile nondo zetu,ulikuwa unanichambulia wachezaji.
 
View attachment 2115622
Wooow huyu mwamba ni habari nyingine..

Ki ukweli ili tushinde makombe msimu huu lazima huyu dogo abakie ni mzima wa afya..

Anavyosoma mpira especially tukishambuliwa na especially kumsaidia Matip ambae jana mara kama 3 hivi alikua out of pace out position is just top level instinct by Fabinho..

Fabinho na Allison ndio kete ya ushindi wa makombe msimu huu.

YNWA
Naona para la Fabinho.

Sema jamaa handsome sana aisee.
 
Adjustments.jpg
 
Njmewaza bila usajili wa Jota huenda january hii tungeketeseka sana...
No. hazidanganyi having Jota upfront huwezi kua na beki zinaranda randa zikimuacha.

Fainali inauma jana Salah mwili unafanya kazi akili haitaki, ameumizwa sana na kulikosa AFCON. Huenda target ilikua kupata AFCON imsaidie kudai mpunga mrefu kwenye mkataba na kuwania Ballon D'or.

Watu wa akili watakaa nae vyema hope vs Burnely Inter atarudi kwenye scoresheet.
 
View attachment 2115639

Diaz naona match day yupo jirani na Milner.

Milner anaongea ki Spanish powa kabisa hivyo ana jukumu la kumkaribisha dogo ajisikie yupo nyumbani kabisa na hakika performance ya jana imetuma ujumbe hajaja kua benchi warmer huyu... Mane Mane watch this space.

Street football kid. Design kama Bobby enzi hizooo. Mishe kama zote.

Ile jezi 23 hua sio ya masihara kabisa ni ya ma legends Carragher, Fowler, Shaqir, Emre Chan.

YNWA

Hiyo namba ya jezi,naona kama tutambadilishia tutampa namba 7.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom