Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,825
- 233,256
Ana balaa huyu jamaaHahahahah noma sanaaa..
YNWA
Ana balaa huyu jamaaHahahahah noma sanaaa..
YNWA
Nafasi ya nani atacheza au akija mtambadilisha namba?Nakwambia huyu Julian akianza Juni kununua akamleta huyu dogo Anfield aaa tutakua fire sanaaa...
Dogo ana mapafu ya paka mwanzo mwisho anakimbiza na pia msimu huu ameanza kujiamini zaidi awepo nafasi ya kufunga.
Tazama rekodi zake kwa ufupi
Akiwa Westham.
View attachment 2116187
Akiwa Hull City
View attachment 2116189
Hana majeruhi ya mara kwa mara hivyo ni quality addition muhimu sana.
Tazama pia mechi alizocheza si mchezo kama last season alicheza mechi 38 EPL. Msimu huu kashacheza mechi 24 EPl. Huyu sio wa kumuacha kabisa. Na umri sasa miaka 25 hivyo ile dhana ya kununua wachezaji wenye umri wa wastani itakua imezingatiwa.
YNWA
Mmmh!! kuna kitu kinaenda kutokea soon.....☺☺Nafasi ya nani atacheza au akija mtambadilisha namba?
Tuangalie na mwalimu tulie nae akimtoa staa akinuna anamuomba msamaha ningumu wengine kung'ara hawezi kurotet timu.
Huyo Elioti ni fowadi lakini anafosiwa acheze kiungo ni kuharbu viwango vya wachezaji.
Hivi Keita akae benchi kwa Eliot ni sawa?
This is how we wanted our team to be🥰Leo hii hamna Mane wala Salah (anaingia kipindi cha pili) kikosini lakini hofu hatuna![]()
Mkuu tazama utajili wa vipaji alionao Pep pale Manchester City na pia tazama sasa Pep ameshinda EPL 3 kati ya makombe 8 alioshinda pale England na ukweli hajabahatisha ni kutokana na wachezaji waliopale kua ni kata mti panda mti, unatoa Sterling anaingia Mahrez, unatoa Jesus anaingia Foden, Grealish nk... Sasa tazama kwa Klopp unatoa Salah anaingia Ox come on @ Manga ML, unatoa Mane unaweka Taikumi na hapo unasaka ushindi sio kumaliza gemu, ukitaka kumpiku anaekuzidi lazima uwe bora zaidi yake na hapa hakuna kingine zaidi ya benchi lilosheheni vipaji ambazo wakipata nafasi wata deliver...Nafasi ya nani atacheza au akija mtambadilisha namba?
Tuangalie na mwalimu tulie nae akimtoa staa akinuna anamuomba msamaha ningumu wengine kung'ara hawezi kurotet timu.
Huyo Elioti ni fowadi lakini anafosiwa acheze kiungo ni kuharbu viwango vya wachezaji.
Hivi Keita akae benchi kwa Eliot ni sawa?
Hahaha Klopp katika ubora wake.Kijana ametua mikononi mwa mwamba wetu
Aongeze tu aiseeHahaha Klopp katika ubora wake.
Huyu mwamba naona akiongeza mkataba mpaka 2026 aisee kwa namna huu usajili wa kimkakati unavyokwenda na jambo njema na meneja aongeze mkataba 😂😂😂..
YNWA
Pep anauwezo wa kumuweka bechi yeyote pale Kloop anawezaa?Mkuu tazama utajili wa vipaji alionao Pep pale Manchester City na pia tazama sasa Pep ameshinda EPL 3 kati ya makombe 8 alioshinda pale England na ukweli hajabahatisha ni kutokana na wachezaji waliopale kua ni kata mti panda mti, unatoa Sterling anaingia Mahrez, unatoa Jesus anaingia Foden, Grealish nk... Sasa tazama kwa Klopp unatoa Salah anaingia Ox come on @ Manga ML, unatoa Mane unaweka Taikumi na hapo unasaka ushindi sio kumaliza gemu, ukitaka kumpiku anaekuzidi lazima uwe bora zaidi yake na hapa hakuna kingine zaidi ya benchi lilosheheni vipaji ambazo wakipata nafasi wata deliver...
Sisi tuna EPL moja na hatuna the so called Mickey Trophies na wote tunajua ni kutokana na ukubwa wa kikosi. Unakumbuka vyema kuna wakati Henderson aliwai cheza RB na tukakosa pointi, Fabinho CB na pale kati tukapwaya ikawa vipigo kweli mpaka Burnley haha, hio yote inatokana na ufinyu wa kikosi kwa mwalimu.. Msimu huu tuna sare EPL around 5 sasa ndugu ukitazam hizo sare utaona kama ya Chelsea, Brentford, Brighton, Manchester City tulikosa benchi la kusaidia timu.
Kingine ndugu Salah, Mane, Firmino wanagonga miaka 30+ hivyo hata output itashuka ukumbuke Liverpool ma forward wanakimbiza mwanzo mwisho Klopp hata aongoze 5 atakua ana demand la 6 hivyo tunahitaji like for like sub ku sustain output uwanjani kwa mfano Jota n Firmino, Diaz na Mane, Salah na Bowen haha
Tazama impact ya Jota tangu atue wakati mwingine hua ni ngumu kumkumbuka Firmino kwa vile dogo Jota anatupa ushindi...
Jana tumeona Diaz dazzling boy atatupa nini kwenda mbele.
Kuna kipindi bila Salah, Mane, Firmino ilikua aidha sare ama tutabahatisha no wonder mpaka sasa tumezoea hatuna uwezo wa kua na vipaji zaidi ya wao pale mbele maana zile namba waliweka hati miliki pale Liverpool lakini angalau sasa tunaanza kuona mipango ya Klopp..
Furaha yangu ni kuona Bowen, Bissouma wanatua.
Kingine upo uwezekano Origi asipate mkataba na kuodoka hivyo tunahitaji kikosi kizdi kuimarika kupambana na wengine..
YNWA
wakija hawa na waliopo wasitolewe tutakua wa moto sanaBwana wee FSG wameona ubora wa Klopp kama kocha na bila ubora wa kikosi kipana watachokwa haraka sana na pengine kusikia FSG out ishike kasi...
Juni 2022 natarajia kuona Bissouma na Bowen ndani ya Anfield.
YNWA
Hofu ilitutoka baada ya mechi za january kuisha bila kufungwaLeo hii hamna Mane wala Salah (anaingia kipindi cha pili) kikosini lakini hofu hatuna![]()
vvd said... its hard to defend JotaRidiculous khaa labda alijua atatumika kama pale Molineux kumbe Klopp had other plans...
Jota ni money well spent every single cent ni worthy the boy output...
YNWA
Naona kabisa Mane akianzia bench.View attachment 2116216
Damn kwa hio Jumapili itakua
THIAGO FABINHO HENDERSON
cha msingi tutoke ugenini na pointi 3 murwa kabisa.
YNWA