Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool’s midfield when Thiago and Fabinho have been partnered:

  • 17 games
  • 16 wins
  • 1 draw
  • 43 goals
  • 6 against

Elite duo.
Hii combo hata acheze jonjo shevley atawaka tu.

Just wait vs Burnley mumuone kapitain atawaka balaa
 
Pep anauwezo wa kumuweka bechi yeyote pale Kloop anawezaa?
Usiwafananishe hawa.

Kwa nini Eliot kageuzwa kiungo na ni sahihi kumuweka benchi Keita acheze Eliot?

Sasa kwa anavyo ng'ara huyo Bowel atapangwa wapi au benchi?
Manga ML kwa hio ishu ni atawekwa wapi ama ishu ni akiwekwa basi analeta ushindi kwenye timu... Ina maana ni bora kuongeza mkataba kwa Origi kuliko kusajili Bowen.

Wachezaji wote aliowasajili Klopp walikuta kuna wachezaji waliokua wanamiliki zile namba lakini walipambana na hatimae nao kuzimiliki na sasa nao wajipange maana kuna revolution tayari ishaanza ya kununua hawa makinda kwa ajili ya ku replace akina Mane, Salah, Henderson nk....

* Robertson alimkuta Moreno dogo akapambana na hatimae kua chaguo la kwanza,

* Jota alimkuta Bobby sasa amepambana kiasi anastahili kua kikosi cha kwanza muda wote.

* Allison aliwakuta Karius na Mignolet na akapambama akamiliki namba.

Ni kweli Klopp sio brutal kama alivyo Pep lakini hata yeye mazingira yanamlazimu kubadilika sasa hatuwezi kua wasidikizaji wa kipara kwa kuwang'ang'ania akina Salah wacheze dakika 90+ lazima tulete benchi la kuleta ushindani...

Maswali yamekua mengi sana ki vipi hizi sare zimekua kila msimu zinatu cost ubingwa huku Pep akichekelea. Jawabu na benchi kua dhaifu.

Tsimikas amemfanya Robertson kua bora.

Gomez amemfanya Matip kua bora.

Bowen, Fabio Carvalho na Bissouma waje kuongeza nguvu Juni 2022.

Top performers wetu ukimtoa TAA na Fabinho wapo over 29yrs hivyo kama hutaki yatukute ya Manchester United au Arsenal ni mapema kua na continuation plan.

YNWA
 
wakija hawa na waliopo wasitolewe tutakua wa moto sana
Kabisa naona FSG wamechoka to play second fiddle kwa Mansour..

Tumepata chance ya kushinda EPL almost kila msimu kutoka 2018 mpaka sasa lakini ukweli ni kwamba ni same players same formula, same mission lakini wame feli to sustain the standards tumekua tuki drop from 2019 henceforth kutokana na this boys aint machines wanahitaji proper back up...

Fununu ni kwamba hata Salah mwenyewe ame demand quality bench maana anataka makombe sio kusidikiza wengine...

YNWA
 
Liverpool’s midfield when Thiago and Fabinho have been partnered:

  • 17 games
  • 16 wins
  • 1 draw
  • 43 goals
  • 6 against

Elite duo.
Hii combo hata acheze jonjo shevley atawaka tu.

Just wait vs Burnley mumuone kapitain atawaka balaa
Captain awasubiri vijana wa La Beneamata haha...

Burnley wabishi mno na kocha wao Sean Dyche ana kabifu fulani na Klopp hivyo this means more kwao pia they are fighting for survival kubakia EPL...

YNWA
 
Vipi kuhusu Diogo Jota
Jota ana out score wale wanaolipwa mishahara ya ajabu EPL...

Huyu dogo no level nyingine.

Kitu anakosa ni control ya mpira tu akiwa kwenye spidi na pia spidi yake sio electric kama Mane yaaani ingekua habari nyingine aisee... But am more at peace alivyo pia ni mwerevu kukwepa viatu vya mabeki...

YNWA
 
Jota ana out score wale wanaolipwa mishahara ya ajabu EPL...

Huyu dogo no level nyingine.

Kitu anakosa ni control ya mpira tu akiwa kwenye spidi na pia spidi yake sio electric kama Mane yaaani ingekua habari nyingine aisee... But am more at peace alivyo pia ni mwerevu kukwepa viatu vya mabeki...

YNWA

Jota the main man
 
Jurgen Klopp on Liverpool's title chances on Thursday: "We have no chance to catch Manchester City..."

Pep Guardiola on Friday:
IMG-20220212-WA0004.jpg
 
Naona kabisa Mane akianzia bench.
Elliot atampokea hendo no.

Nahisi Klopp currently atleast he is smiling inside with what he has now (health squad).
Hahaha Klopp is one happy fella... Tazama utajili pale kati Thiago, Milner, Jones, Elliott, Chamberlain, Keita, Fabinho, Henderson nk

Ingekua powa Captain aanzie benchi baada ya ushindi aingie dakika 70 huko to close the channels...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom