Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahaha kumkimbiza Kipara hakunaga utani...

Nipo Mkuu.

Unaona Julian Ward kakuletea mhandsome mwingine Diaz..

YNWA
Ngoja tuendelee kufukuzana na Pep

Nilikumiss kinoma mwamba.


Naona muhb mwingine amekuja,,,aisee liverpool tuna mahandsome jamani wakiongozwa na kachotara ka taa na matip wetu🥰
 
Ngoja tuendelee kufukuzana na Pep

Nilikumiss kinoma mwamba.


Naona muhb mwingine amekuja,,,aisee liverpool tuna mahandsome jamani wakiongozwa na kachotara ka taa na matip wetu🥰
Hahaha Matip wako naona namba kashaimiliki mazima sasa.... Julian anazidi kukuvuta zaidi kuwatazama ma HB wako wakifanya yaoo...

Asante Mkuu. Pamoja sana. Am humbled.

YNWA
 
What's a game.

Cool 3 points

Clean sheet

Thiago played 90+

New boy Diaz get standing ovation and feel the Anfield fans at thier best..

Cool revenge maana hawa kwao walikua na jambo lao..


Next game away Burnley Sunday at Turf Moor..

Over to you Pep we ain't giving up, we refuse to give up.. For those who believe haha..

MOTM Jota.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom