Bado kuna Vivulana vinajiaminisha kuwa Lukaku ni mzuri lakini hapewi mipira.
Tofauti ya Henderson, Milner na Jones, Ox na Takumi ni kwamba hawa vijana ni forward thinking muda wote wanawaza kupeleka mashambulizi mbele hivyo kuwa pin wapinzani kwenye half yao hata pale tukipoteza mipira kwa vile tunakua upande wa upinzani basi fasta tunakua aggressive ku press na kupata mipira muda mwingi jana hii ndio mbinu ilitumika kwa Brentford hawakupata muda kupanga mbinu za kutuumiza tofauti na ile mechi ya nyumbani kwao we were all over the place...1st half we were real luck indeed. Error ya TAA (back pass to Mbeumo)
Matip (foward pass but to opponent)
wangezitumia vizuri hali ilikua tete kwetu.
Nilijiuliza mbona hii brentford tofauti sana hawa press hawana intensity. Remember 3-3 1st round match vs Chelsea?? they were story indeed.
Klopp achange karata vyema combo ya hendo na millie itamuangasha na kutuumiza.
Match vs Arsenal give Minamino chance atleast 60-70 min upfront he has something to give us.
This would have been time for Harvey Elliot if he had not injured ...
Best of luck to the boys.. We only need three points and goals.
Sent from my Pro_Max11 using JamiiForums mobile app
Vipi mkuu?Leo mmeotea kunguni nyinyi.
Brentford nayo ni timu ya kukaa kujadili.Vipi mkuu?
Ulinitishia juzi kwamba oh Brentford anatusubiri.
Umeona sasa liver wanaume wa shoka wanavyoupiga mwingi?View attachment 2084910
Si ulikuwa unanitishia nayo mwenyewe!Brentford nayo ni timu ya kukaa kujadili.
Match nane wamepigwa tano sare mbili na ushindi mmoja.
Nyie tulieni hapo.
Wanangu Arsenal wana jambo lao Alhamisi.
Mimi Liverpunga kwangu mchumba tu... Ndio maana akipambana sana anapata sare kwa the blues.Si ulikuwa unanitishia nayo mwenyewe!
Au siyo wewe?
Kumbe unajua liverpool baba lao??
Kama mchumba si mngemzibua?Mimi Liverpunga kwangu mchumba tu... Ndio maana akipambana sana anapata sare kwa the blues.
Sisi siyo wachumba wa Liver...Kama mchumba si mngemzibua?
Ona city kawatwanga.
Basi nyie ni wachumba squared maana tushawapoga bao,,tupo pale chini ya City.
Si mngempiga!Sisi siyo wachumba wa Liver...
Huyo city tunammudu ni suala la muda tu kabla hatujamfukuzisha kipara kazi kwa kipigo cha aibu.

Sisi siyo wachumba wa Liver....Si mngempiga!
Mbona kawatandika.
Mpo chini yetu,nyie wachumba tu![]()
Tupo namba 2Sisi siyo wachumba wa Liver....
