Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,823
- 233,255
Sisi liverpool tunajiona mashujaa ndugu zake Yesu mtenda miujizaHahahaha Kipara anasema kama ela ipo itumike hakuna namna ukweli hata Norwich wangekua na Mansour mbona wangekua mabingwa tayari... Mpira wa sasa ni pesa hakuna kingine kusubiri vitoto vya academy kama zamani haipo..
YNWA


akiyanani!