Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahaha Kipara anasema kama ela ipo itumike hakuna namna ukweli hata Norwich wangekua na Mansour mbona wangekua mabingwa tayari... Mpira wa sasa ni pesa hakuna kingine kusubiri vitoto vya academy kama zamani haipo..

YNWA
Sisi liverpool tunajiona mashujaa ndugu zake Yesu mtenda miujizaakiyanani!
 
Ndio hapo ndugu...

Ngoja kesho Mbuemo na Tony wana jambo lao sijui atasingizia nini aisee..

Hakuna progress bila kusaini wachezaji muhimu pale dirisha linaluhusu ajabu wa FSG niliona 2021 January yaaani walinzi wetu muhimu wapo mahututi lakini badala wanunue wachezaji wa maana tukaletewa Kabak na Davies vituko vya karne kwa hali mbaya tuliokua nayo... Nilichojifunza ni kwamba FSG wanaamini Klopp anauwezo kuleta mafanikio akiwa na kikosi chochote kile bila kuzingatia ubora wa wachezaji wanaonunua ndio maana hawa FSG hawajali sana mambo ya kununua wanachojua Klopp ana miujiza ya kuwafanya hata mediocre players kama Henderson kua World class haha.
Klopp pia ni binadamu ana limits zake pia.

FSG out hakuna namna.

YNWA
Kabisa mkuu FSG out hawawezi kutufanya kila siku tuwe na majonzi sisi kwani nani hataki ubingwa? Angalia tunazidiwa hadi na Aston villa!
 
Kabisa mkuu FSG out hawawezi kutufanya kila siku tuwe na majonzi sisi kwani nani hataki ubingwa? Angalia tunazidiwa hadi na Aston villa!
Aston Villa wanantaka Bissouma duuh itakua bonge la MF tazama 6 acheze Bissouma, 8 acheze Buedia na 10 acheze Coutinho pale mbele 9 yupo Watkins yaaani jamaa watakua na timu murwa sanaaaaa.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom