Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Barcelona waje wamchukue huyu Thiago tutoe na ela watupe Frenkie De Jong na tunakua sorted....

Liverpool pana shinda Edwards kwenye mikataba hivi inakua aje wachezaji wasioumia hawadhaminiki kwa mfano Gini alidumu Liverpool miaka mitano na ALIKOSA GEMU 5 kwa majeruhi lakini alivyodai alipwa powa na mkataba miaka mitatu jamaa walimtolea nje, huku sasa PANCHA Thiago na Keita wakilipwa almost mara mbili ya Gini na kwa msimu mmoja lazima wakose gemu zaidi 10. Edwards japo hua tunasema ni genius lakini haya mambo nae amechangia upande wa mikataba.

Ajabu sasa kosa lile lile la Gini naona likifanyike kwa Mane. Kwa sasa hakuna anaezungumza kuhusu mkataba wake unaisha 2023 aidha asepe ama asajiliwe kinda mapema asome kutoka kwake, design kama walivyofanya kwa Konate anasoma kutoka kwa VVD.

Muda utasema ila naona ma Yankees wanakomaa kupanua uwanja na sio kutoa ela za usajili...

Hatuna tuna mchezaji wa kuuza kwa mpunga ule wa Coutinho yaaani hawana idea nini kifanyike...

YNWA
 
Kumbe ni wachezaji wanapiga kura!
Basi walikuwa wamepiga vyombo..wanampigiaje mwehu huyu Kura[emoji1787]!
Hahahaha Klopp bhana aligoma wachezaji kupiga kura ya Kapteni namba 1 na 2 lakini akawalazimisha wapige kura Kapteni namba 3 na 4 Hahaha.
Alijua fika kura zingepigwa Henderson hana chake pale.

VVD ndio angepata ujue haha. Boy is born leader.

YNWA
 
Screenshot_20220115_121459_com.android.chrome_edit_143489179608833.jpg


YNWA
 
Hahahaha Klopp bhana aligoma wachezaji kupiga kura ya Kapteni namba 1 na 2 lakini akawalazimisha wapige kura Kapteni namba 3 na 4 Hahaha.
Alijua fika kura zingepigwa Henderson hana chake pale.

VVD ndio angepata ujue haha. Boy is born leader.

YNWA
Sasa walishindwa kutumia hata akili ya harakaharaka ya kawaida wakamuweka VVD
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom