Naona waandishi wanataka Klopp azungumzie kuhusu usajili jamaa anakwepa maswali kisiasa.
Azungumze ukweli ni upi?
1.Ni yeye hataki kusajili
AU
2. FSG ndio hawataki kumpa fungu.
Kila siku anasema tunawachezaji wengi wazuri, sio lazima tusajili kama wengine n.k.
Villa sio wasaka mataji lakini wamesajili wachezaji senior
Digne
Coutinho (kafunga na katoa pasi ya goli)
Henderson James Pearce hua anamtetea sana Henderson na kumponda Keita ila siku hizi kawa kimya hana cha kumsifia Hendo.
Ox
Hendo
Milner (huyu ni umri tu)
Hawa ni wachezaji wa dk 15-25 tu ni wachezaji wa carabao huko.
Nahodha hauna muda wa kuibeba timu .?? Henderson bado hajalifuka jina la Stevie G kwenye unahodha licha ya kubeba four major trophies na ambayo Stevie G hakulibeba, kutokana na hajitoi wakati timu ikimuhitaji na hana kipaji kama kwa Stevie G ilivyokua.
Bowen
Bissouma
Rafinha
Kevin Phillips
Chukua wawili hapo and Problem solved.
Sent from my Pro_Max11 using
JamiiForums mobile app