Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

kumkamata gadiora ngumu alafu kumbukeni yeye ndo alianza ligi vibaya

Kuanza ligi vibaya inategemea ulipangiwa kuanza kucheza na nani.ndio maana kuongoza ligi mwanzoni hakukupi uhakika wakuchukua ligi ila baada ya mechi 19 Yaani Christmas pale zinakuwa kila timu inakuwa imeshacheza na timu zote zilizopo kwenye round ya kwanza.sasa hapo hakuna upendeleo wa ratiba kwamba nimepangiwa mechi ngumu.
 
Tuache utani kwa uchezaji huu hatuna ubingwa hapa.
Hivihivi tunavyocheza ndio tukamkute kipara na kumtoa?
Labda Mungu aingilie tu kati.
Mkuu man city kakuacha point 3 ?

Liverpool unapoint 42.unakiporo cha game moja ....


Ukishinda utakuwa na point 45....

Man city anapoint 53 .....

53-45= 8


Man city kaizidi Liverpool point 8 clear .......


Hizo point tatu unazosema ni zip ??????????????
 
Mkuu man city kakuacha point 3 ?

Liverpool unapoint 42.unakiporo cha game moja ....

Ukishinda utakuwa na point 45....

Man city anapoint 53 .....

53-45= 8

Man city kaizidi Liverpool point 8 clear .......

Na hapa ni endapo utashinda kiporo na Leeds united ....

Hizo point tatu unazosema ni zip
 
Kama nyie ni wanaume kweli pandeni huku juuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Tulia wewe.

Analipwa kwa kufanya kazi hiyo.

Au unahisi ni mchezaji wa man city yule.

Nyie wenyewe kipa wenu kawaokoa sana.

Kipindi cha kwanza tu tulikuwa tunamaliza match.
Mmalizie wapi
Kamshukuruni yule kaka.
 

Mkuu namaanisha round ya kwanza imeishaje yaani Baada ya mechi 19 , ligi inamechi 38.

Wanasema atakae ongoza ligi Christmas Ndio bingwa , Christmas inakuwaga kila mtu amecheza Mechi 19 ndio tafsiri yangu.

Mkuu Hautanielewa saizi Maana unaongoza ligi Saizi nitakuambia nini?[emoji3].

Muda Ndio utaamua maana hata chelsea niliwaambia hawakunielewa Saizi akili imewakaa sawa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…