Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,452
- 32,889
Uzuri wa EPL hua ina matokeo usiyotegemea kuna kipindi huyu huyu kipara alichakazwa na Norwich kama utani vile...Hata tukimfunga City hamtamkamata, city akikutana na hizi timu ndogo anawakung'uta kweli kweli na mtaji wake wa ubingwa uko hapo
Wewe mara umedroo na Brighton mara um,efungwa na Lei next mara utafungwa na Aston Vila. Yeye wakipita au akiwafuata kwao anaondoka na 3
Umesema vyema haijalishi matokeo yako na Kipara kama Liverpool ataedelea kutoa sare ama kufungwo na wengine inakua basi matokeo yako kwetu hayana umuhimu wowote. Upande wa pili ni kwamba mkimpiga Kipara kwetu inatupa kuamini kumbe huyu bwana anaweza kuzuiwa na itawapa vijana motisha kupambana.
Cha msingi ni kila mmoja ashinde mechi zake huku ramli kuwaombea vipigo Manchester City.
Epl lolote linawezekan...
YNWA