King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Kukosekana kwa wachezaji wetu muhimu kumeonesha udhaifu mkubwa kwenye kulinda
Tupo kwenye boat moja mzee....VVD out
Fabinho OUT
Thiago OUT
Henderson OUT
Dah! Corona nuksi sana
Yes muwe mnaadmit kwamba mshikaji ana mchango mkubwa sana.Defence yetu bila ya VVD ni takataka
Sisi tumenyimwa kibali leo na tuna wachezaji wa kutosha wenye kovidi plus hali ya hewa leo haikuwa rafiki.Wachezaji wetu wakae Karantini mpaka game v/s Chelsea ipite
Haupo peke yako tazama pale nyuma palivyo tataa...Sina imani na game ya leo wakuu.
Kweli hapa ni kukaza..Ata chelsea naye kacheza katika mazingira hayohayo ya corona kikubwa ukaze ila hiyo sio sababu hivi sasa.
Kakisimama na Fabinho hua kanaonekana kamo sana aisee ile leo kamechemkaaa...Haka Kadogo kanatoka hii game ni kubwa kwake