Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nyie mmeshawahi kukaa hapo juu mpaka mzunguko wa kwanza unaisha na hamkubeba ubingwa.

Msijisahaulishe.
 
Nyie mmeshawahi kukaa hapo juu mpaka mzunguko wa kwanza unaisha na hamkubeba ubingwa.

Msijisahaulishe.
Tugange yajayo ndugu yaliyopita yaache huko huko haisaidii kusema leo ulianza ligi ukiwa kileleni lakini mpaka Pep anamalizana na Claudio kuna uwezekano ukawa nafasi ya 3.

YNWA
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…