Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwamba anajitahidi.


Kweli watu wanaofanya mazoezi hawazeeki,nimekuwa surprised baada ya kusoma kuwa ni wa mwaka 1967.
Mazoezi ndio mpango mzima. Kingine Klopp sio kocha wa visasi ni out going sana hanaga noma wala nini. Jambo lake anaongea hapo hapo linaisha.

Hata wewe mazoezi muhimu angalau thrice in a week to keep fit🤠🤠🤠.

YNWA
 
Mazoezi ndio mpango mzima. Kingine Klopp sio kocha wa visasi ni out going sana hanaga noma wala nini. Jambo lake anaongea hapo hapo linaisha.

Hata wewe mazoezi muhimu angalau thrice in a week to keep fit.

YNWA
Pongezi kwake mwamba.


Hahah!
Ngoja na mimi nianze mazoezi mdogo mdogo ila siyo ya mpira


Tuendelee na uchambuzi brother,
Wa wachezaji sasa
 
Pongezi kwake mwamba.


Hahah!
Ngoja na mimi nianze mazoezi mdogo mdogo ila siyo ya mpira


Tuendelee na uchambuzi brother,
Wa wachezaji sasa
Tunaanza na home boy wetu Trent Alexander Anord.
. Born 7/10/1998 in West Derby
near Melwood Liverpool.

. Joined Liverpool aged 6 in 2004.

.Spotted by Ian Barrigan.

. Has played as a Midfielder in the academy.

Captain for under 16s and under 18s.

.made Senior debut in 2016 aged 18 years.

. Plays as attackinh Right Back wearing number 66.

. His main strengths ni long passes, accurate crosses, genius in set pieces, fair minded.

. Weakness ni caught most of the times out of position due to his attacking prowess.

. Major honours attained ..
Runners up Europe League 2016 2017
Runners up UCL 2017 2018
Winner UCl 2018 2019 season
Winner Super cup 2019
Winner club World cup 2019
Winner EPL 2019 2020.

. Contracted mpaka 2025 rumoured to be £180,000 per week.

YNWA
 
Tunaanza na home boy wetu Trent Alexander Anord.
. Born 7/10/1998 in West Derby
near Melwood Liverpool.

. Joined Liverpool aged 6 in 2004.

.Spotted by Ian Barrigan.

. Has played as a Midfielder in the academy.

Captain for under 16s and under 18s.

.made Senior debut in 2016 aged 18 years.

. Plays as attackinh Right Back wearing number 66.

. His main strengths ni long passes, accurate crosses, genius in set pieces, fair minded.

. Weakness ni caught most of the times out of position due to his attacking prowess.

. Major honours attained ..
Runners up Europe League 2016 2017
Runners up UCL 2017 2018
Winner UCl 2018 2019 season
Winner Super cup 2019
Winner club World cup 2019
Winner EPL 2019 2020.

. Contracted mpaka 2025 rumoured to be £180,000 per week.

YNWA
Aisee umejuaje mkuu umeanza na huyu home boy mchezaji ninayempenda zaidi kwsnye club,,huwa namfananisha huyu dogo na Steven Gerrard.


Nimefurahi kumfahamu.

Haya tuje mwingine.
 
Aisee umejuaje mkuu umeanza na huyu home boy mchezaji ninayempenda zaidi kwsnye club,,huwa namfananisha huyu dogo na Steven Gerrard.


Nimefurahi kumfahamu.

Haya tuje mwingine.
Haha Gerrard alimtabiria makubwa sana huyu dogo.

Alikua pia mascot haha wale watoto hua wanasidikiza team mechi ikianza. Pia aliwai kua ball boy Anfield haha.

YNWA
 
Tuanze na Mane mwenyewe..
Hahaha huyu mwamba ni habari nyingine babake alikua Imam na hakutaka dogo acheze mpira kwa bahati mbaya alifariki Mane akiwa na miaka 7.

SAIDO MANE

-Alizaliwa 10/4/1992.

- Amezaliwa Senegal Kusini Mji wa Sedhiou kijiji cha Bambali. Kina wakazi around 24,213 ambao asilimia 5 ni mashabiki wa Liverpool.

- Alitoka kijijini kwao na kwenda Dakar kujaribu zali la kucheza mpira na kujiunga na klabu ya Mbour.

- mwaka 2009 ma scout kutoka Ufaransa walimuona na kupelekea kujiunga na Academy maarufu ya Generation Football Academy Dakar.

- Mwaka 2011 akiwa na miaka 15 alijuinga na klabu ya Metz Ufaransa. Hakumwambia Mamake kama anahamia Ufaransa zaidi tu alimwambia Mjombake. Alidumu Metz msimu wa 2011 na 2012 na nusra akimbie baridi lakini akikumbuka umaskini nyumbani kwao akakomaa sanaaa.

- mwaka 2012 alicheza Olympic London Uingereza na akawa spotted na team ya Red Bull Salzburg wakamnunua kwa £4m.,alidumu pale Austria mpaka 2014 akifunga magoli 42 katika mechi 80.

- mwaka 2014 alijiunga na Southampton kwa dau la £11.8m.,ana rekodi ya kipekee pale akifunga the fastest hat trick in EPl.

- mwaka 2016 alijiunga na Liverpool kwa dau la usd 34m. Kwa mkataba mpaka 2023 akilipwa mshahara wa £100,000 kwa wiki.

- Kwa Liverpool anacheza kama Forward / Left Winger.

- Anavaa jezi namba 10.

- style of play ni all round professional yaani ana sifa zote za forward.. Dribbler, direct, good finisher, speed, technical gifted, high work rate, defensive duties nk.

- hana tatoo hata moja. Ni devoted Muslim.

- ameshinda akiwa Liverpool
Champions League 2019.
Super Cup 2019 season
World club Cup season 2019
Epl trophy 2019 2020 season.

- mpaka sasa amefunga magoli 102 EPL ana assist 37 jumla akicheza mechi 244 mpaka sasa tangu amehamia Uingereza.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom