Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kipindi tunalalamikia Majeruhi Rent Boys walihisi tunatafuta visingizio, hatimae yamewakuta wanaanza kumlilia Ben Chilwell mmoja tu wakati sisi tuliwapoteza karibu Timu nzima ikiwemo Mabeki wote na Midfielders wote.
 
Kuweka Rekodi sawa:
Chelsea v/s Liverpool - Sare
Chelsea v/s Man City - Kapigwa
Chelsea v/s Manure - Sare
Chelsea v/s Arsenal - Win

Huyu Tuchel kwa Timu kubwa uwezo wake ni mdogo sana! Round ya pili ajiandae kupoteza points 9 kwa Liverpool, Man City na Man United.
 
Chelsea naona atalegea tu ,mpaka December mwisho atakuwa ameshaachia hapo juu.

Wanatimu ya kawaida tu kumbe,yale makosa tunayofanyaga sisi na wao kumbe wanayo.
Mkuu pale juu itakua ishu akikaa huyu kipara wa kutoka Catalan. Hawa jamaa sio watu wazuri aisee.

Klopp bado ana mtihani sana na baadhi ya wachezaji, kupoteza pasi maeneo ya hatari kwetu imekua ndio main weakness msimu huu. Konate, Henderson, Salah kwenye hili waongeze bidii.

Pale mbele nako pamoja na kufunga goli 4 palikua napo pamepwaya especially Jota alipata nafasi za kutosha umaliziaji ukawa kikwazo.

Depth ya kikosi imeanza kuleta ushindani haswa kwa vijana. Tsimikas amekua na wakati mwema sana kila akipangwa na hii imempelekea Robertson kuja ki vingine mechi ya juzi sio business as usual. Alitengeneza nafasi 4 za kufunga magoli. Ni amefanya hivyo mara ya kwanza msimu huu mechi ile.

Sasa kwenye mbio za ubingwa EPL msimu huu hakuna margin of error labda iwe very minimal.

Key focus ni game management ya Fabinho, Thiago, VVD na Jota. Hawa wakibaki salama tupo pazuri sana. Wanaleta balance kwenye timu na kufanya kila idara iwe top performance.

Chelsea naona kumkosa Ben ni dhahiri ni pigo.

YNWA
 
Screenshot_20211129_072701_com.android.chrome_edit_57804809358887.jpg


YNWA
 
Mkuu pale juu itakua ishu akikaa huyu kipara wa kutoka Catalan. Hawa jamaa sio watu wazuri aisee.

Klopp bado ana mtihani sana na baadhi ya wachezaji, kupoteza pasi maeneo ya hatari kwetu imekua ndio main weakness msimu huu. Konate, Henderson, Salah kwenye hili waongeze bidii.

Pale mbele nako pamoja na kufunga goli 4 palikua napo pamepwaya especially Jota alipata nafasi za kutosha umaliziaji ukawa kikwazo.

Depth ya kikosi imeanza kuleta ushindani haswa kwa vijana. Tsimikas amekua na wakati mwema sana kila akipangwa na hii imempelekea Robertson kuja ki vingine mechi ya juzi sio business as usual. Alitengeneza nafasi 4 za kufunga magoli. Ni amefanya hivyo mara ya kwanza msimu huu mechi ile.

Sasa kwenye mbio za ubingwa EPL msimu huu hakuna margin of error labda iwe very minimal.

Key focus ni game management ya Fabinho, Thiago, VVD na Jota. Hawa wakibaki salama tupo pazuri sana. Wanaleta balance kwenye timu na kufanya kila idara iwe top performance.

Chelsea naona kumkosa Ben ni dhahiri ni pigo.

YNWA
Mkuu ninaona kuna tetesi za kumsajili baunsa kutoka wolves hivi ni kweli?
 
Mkuu pale juu itakua ishu akikaa huyu kipara wa kutoka Catalan. Hawa jamaa sio watu wazuri aisee.

Klopp bado ana mtihani sana na baadhi ya wachezaji, kupoteza pasi maeneo ya hatari kwetu imekua ndio main weakness msimu huu. Konate, Henderson, Salah kwenye hili waongeze bidii.

Pale mbele nako pamoja na kufunga goli 4 palikua napo pamepwaya especially Jota alipata nafasi za kutosha umaliziaji ukawa kikwazo.

Depth ya kikosi imeanza kuleta ushindani haswa kwa vijana. Tsimikas amekua na wakati mwema sana kila akipangwa na hii imempelekea Robertson kuja ki vingine mechi ya juzi sio business as usual. Alitengeneza nafasi 4 za kufunga magoli. Ni amefanya hivyo mara ya kwanza msimu huu mechi ile.

Sasa kwenye mbio za ubingwa EPL msimu huu hakuna margin of error labda iwe very minimal.

Key focus ni game management ya Fabinho, Thiago, VVD na Jota. Hawa wakibaki salama tupo pazuri sana. Wanaleta balance kwenye timu na kufanya kila idara iwe top performance.

Chelsea naona kumkosa Ben ni dhahiri ni pigo.

YNWA

Kipara ndio tishio mkuu,anaanzaga vibaya tu ila ikifika December na January anakuwa yupo juu hapo,anauzoefu na ligi anaongozaga wakati unaotakiwa kuongoza ligi.
 
Mkuu ninaona kuna tetesi za kumsajili baunsa kutoka wolves hivi ni kweli?
Baunsa kagoma kusaini mkataba mpya hivyo wanaona wapate chao mapema.. Maana kuzidi kusubiri anaporomoka bei.

Edwards akicheza kadi zake powa kwa £15m mpaka £20m tunampata hii January 2022...

YNWA
 
Kipindi tunalalamikia Majeruhi Rent Boys walihisi tunatafuta visingizio, hatimae yamewakuta wanaanza kumlilia Ben Chilwell mmoja tu wakati sisi tuliwapoteza karibu Timu nzima ikiwemo Mabeki wote na Midfielders wote.

Timu yao ni ya kawaida sana,me kwenye ubingwa hapana Aisee nitakuwa wamwisho kuamini chelsea anachukua ubingwa.
 
Kuweka Rekodi sawa:
Chelsea v/s Liverpool - Sare
Chelsea v/s Man City - Kapigwa
Chelsea v/s Manure - Sare
Chelsea v/s Arsenal - Win

Huyu Tuchel kwa Timu kubwa uwezo wake ni mdogo sana! Round ya pili ajiandae kupoteza points 9 kwa Liverpool, Man City na Man United.

Watamtimua msimu ujao hapo Epl kugumu sana,

Amekuja na kelele nyingi hata misimu 2 hana.

Tunapoelekea uko ndio muda wao wakulaumiana hao watamkataa kocha wao.
 
Kuweka Rekodi sawa:
Chelsea v/s Liverpool - Sare
Chelsea v/s Man City - Kapigwa
Chelsea v/s Manure - Sare
Chelsea v/s Arsenal - Win

Huyu Tuchel kwa Timu kubwa uwezo wake ni mdogo sana! Round ya pili ajiandae kupoteza points 9 kwa Liverpool, Man City na Man United.
Nyie jifarijini Tu....km uwezo wake mdogo basi msihangaikie kina mane na Salah ili waende afcon hyo 2 January

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom