Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
What do you see? 😂😂
Akija ollachuga unistueeeeNani haogopi Chelsea teh teh njoo huku Ollachuga Oc umeshikwa pazuri...
YNWA
Nani haogopi Chelsea teh teh njoo huku Ollachuga Oc umeshikwa pazuri...
YNWA





akuje huku😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Aje wapi leo kakutana na kisiki katulizwaaaa kimoko ana bahati ya kipenati kuchomoa..Akija ollachuga unistueeee
Atakua anakunywa kahawa kwanza maaana leo anabaridi kikali sanaaa alipo..akuje huku
Mkuu Lembu msimamo ndio huu.
Ligi bado ipo wazi sana hakuna wa kutoka nayo duki mazima kwani matokeo muda wowote yanabadilika...Watani hongereni sana, maombi yenu yamesikika. Tunarudi kujipanga Tena mechi bado mingi
Watani hongereni sana, maombi yenu yamesikika. Tunarudi kujipanga Tena mechi bado mingi
Wivu sina ila roho inaumaI love you babe
Nina ujumbe wako Pm.
Mkuu Lembu msimamo ndio huu.
Taratibu sasa tunaingia deceba mpaka January mwishoni itajulikana nani anasidikiza.
YNWA
Moira unadunda, unaweza kumbuka ile siku Aston Villa anaifunga Liver goli 7? Ilimfikisha popote? Tumeteleza kwenye umaliziaji tunakwenda kuyafanyia kazi.Hongera na wewe mkuu kwa kupata hiyo point moja imekuwaje tena wewe ndio champion of Europe unashindwa kumfunga nyumbu na wakati kila timu inajipigia hapo?
Au ndio wameshaanza kuwajulia?