King Ngwaba
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 3,417
- 7,370
Soon watakwambia Reece James,maana ndio anaongoza kwa mogoli mengi kwenye timu yao ana magoli 4,Sio lukaku tena lukaku kabla ya kuumia alicheza mechi 6 bila kufunga goli lolote mashindano yote sana karudi wamesahau walipoishia.
Sasahivi kila unapopita utasikia wanamfananisha TAA na Reece kama eti yule Awilolongomba wao awe bora kuliko TAA 😂
TAA ambaye huu ni MSIMU WA 5 ameshaprove ubora wake na kuwa na CONSISTENCY anafananishwa na Awilolongomba ambaye hajatimiza hata Nusu Msimu.
Dah! Rent Boys wana visa kweli.
. .Hz jamaa zina husda
