Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Acha chuki kwa Liverpool utakufa mapema maana naona unashinda kwenye jukwaa hili au kule Jukwaa la Cheltako umepigwa exile
Nipigwe exile na nani nyie Kunguni?

Timu yangu inafanya vizuri nakaa nadiscuss nini?

Tunakuja huku kwa Liverkuku....

Sisi hatuna gundu kama nyie... tukikaa juu tumekaa.
 
Kwahiyo sisi ndo hatufanyi vizuri, ulitakiwa ukashinde majukwaa ya Arse8 na manyumbu utd nimeshakujuwa una chuki binafsi na liverpool
Nipigwe exile na nani nyie Kunguni?

Timu yangu inafanya vizuri nakaa nadiscuss nini?

Tunakuja huku kwa Liverkuku....

Sisi hatuna gundu kama nyie... tukikaa juu tumekaa.
 
Adjustments.jpg

They are back
 
Tunapoenda huko Saizi sio kuzuri Aisee,halafu hiyo Mido ni mbovu hijawahi kutokea.

Unbeaten run inaenda kuisha kwa mido hizo.

Ile mechi na Brighton nilikuwa nawaza sasa hapo nikimtoa ox au jones namuweka nani? Nikawa sina majibu.

Mechi na madrid hiyo tutafungwa pale anfield kwa mido hizo .na hata mechi na westham kwa mido hiyo tayari point tutapoteza

Na tutaanza kulaumu beki mbovu. Na wakati mido hizo hazikabi mipira yoyote.


Fabinho na Henderson wakiwepo kati hapo tunauwakika wa ushindi.

Inapofika wakati wa usajili wale mahututi wetu wote huwa ni wazima! Hivyo tunaonekana kuwa tuna Bonge la Kosi na huonekana kuwa hakuna tena umuhimu wa kusajili! Lakini baada ya mechi 5 tu tunabaki na Robo kikosi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom