42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Nipigwe exile na nani nyie Kunguni?Acha chuki kwa Liverpool utakufa mapema maana naona unashinda kwenye jukwaa hili au kule Jukwaa la Cheltako umepigwa exile
Timu yangu inafanya vizuri nakaa nadiscuss nini?
Tunakuja huku kwa Liverkuku....
Sisi hatuna gundu kama nyie... tukikaa juu tumekaa.

