Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Robertson yuko vizuri kwenye kukaba unlike Trent na hicho kwa maoni yangu ndicho kinatoa sababu ya yeye kuwepo daima in every lineup

Jana hiyo nimeona sana Trent yuko out of position with catastrophic Attacks always raged on on his areas he is supposed to be defending
 
Ni kweli ubingwa unawafuata Chelsea maana wana timu ya kawaida sana lakini wanapata matokeo.
Yaah Safari inakuwaga hivyo ...

Japo sisi tunaotafuta ubingwa tunaweza kukaza tukachukua kabla haujamfikia Chelsea...

Kiufupi sisi wanajimu tunasema ,Chelsea kasimama na epl inamfuata ,but wengine tunaikimbiza epl kuiweka mfukoni ...
 
Hivi Mkuu TAA ni trash defending but a pure gem when attacking... Hivi let's say Klopp to switch to 3 5 2 pale akapanga hivi
Nyuma > Gomez, Matip, VVD

Kati > TAA, Jones, Henderson, Fabinho Robertson

Mbele > Mane, Salah.

Ama

Nyuma> TAA, VVD, Robertson

Kati> Minamino, Henderson, Fabinho, Jones, Jota

Mbele> Mane Salah.

YNWA
 
Kwa performance ya Chelsea basi msimu huu ndiyo mabingwa wa EPL.

Nimeyasema haya based on performance

Mkuu mwaka jana unakumbuka everton na aston villa mechi 5 za mwanzo?

Walishinda mechi zote aston villa alikuwa hajarusu goli lolote,mlikuja hapa mkatuaminisha watachukua ligi me nikawapinga uzuri mkanielewa.

Everton Uliwatabiria watafanya vizuri chini ya Carlo,ligi imeisha wako nje ya top 10.


Msimu uliopita Walikuja Man U ukatuaminisha tena watachukua ubingwa lakini wakaangukia pua.


Kuna muda pia msimu huu kuna watu walisema Man U watachukua ubingwa lakini Saizi hawasemi tena maana Man U na Arsenal point sawa na Arsenal na wao arsenal wataanza kusema tunachukua ubingwa.


Kwa mtazamo wangu ni sisi na man city tukiongoza ligi tunakuwa bado hatuamini kama tutachukua ubingwa mpaka mwisho wa ligi au gap la point liwe kuanzia point 15 huko na kuendelea,tofauti na hapo hakunaga kelele kwamba ubingwa wa kwetu Safari hii.

Timu zingine zikiwa hapo juu kelele zinakuwA nyingi sana kulazimisha kwamba tuwaamini wao ndio mabingwa wa msimu.sijajua kwanini iko hivyo hiyo.hizo kelele usije ukaziogopa misimu yote zipo hizo kelele hata msimu ujao pia zitakuwepo pia.


Kusema chelsea ni mabingwa msimu huu ni sawa kwa upande wako maana unaangalia upepo Uko wapi saizi,ila mambo yanakuwa yanabadilika especially kwenye Epl.

Kuna muda tena utafika utatuaminisha timu nyingi tena kwamba ndio watakuwa mabingwa.tutakubali pia maana tunaangalia upepo uko wapi Saizi.

Navyoona saizi upepo unavyoenda Arsenal na wenyewe wanakuja soon watatulazimisha tuamini wao watakuchua ubingwa ,kuanzia wafungwe zile goli tano na man city hawajafungwa tena mpaka leo hii


Kwa upande wangu me simpi nafasi chelsea ya kuchukua ubingwa kwasababu tu saizi anaongoza ligi .sijaanza kuifatilia leo Epl naijua vizuri sana.


Na sasa hivi wataendelea kuonekana maana walianza na mechi ngumu saizi naona wako na timu zinazoshika nafasi ya mwisho kwenye Epl.(norwich,Newcastle).
 
Inakuaje ina team yakawaida ukiwa inaongoza magoal yakufunga na ndio team iliyoruhusu magoal machache huo ukawaida unaozungumza uko wapi?

Mkuu kiukweli hamna wachezaji wakuwapa ubingwa pale Epl, ni swala la muda tu.

Saizi hautaelewa subiria ligi iishe ndio utaelewa,hawezi kuelewa saizi kwa sababu unaongoza ligi.

Na hutaki kusikia chochote zaizi ya kuambiwa unachukua ubingwa.
 
Mkuu ratiba imewabeba mkuu mechi zenu mbili za mwisho ummecheza timu za mwisho Kwenye ligi.

Mlivyokuwa full mbona mlifungwa.

Hivi ndio mtaongoza ligi mpaka ligi inaisha ? Ndio mnavyoamini mashabiki wa Chelsea,kitu ambacho hakipo hicho
Mbona nyie hamjabebeka sasa na kina Brighton n Brentford [emoji23]
 
Mkuu kiukweli hamna wachezaji wakuwapa ubingwa pale Epl, ni swala la muda tu.

Saizi hautaelewa subiria ligi iishe ndio utaelewa,hawezi kuelewa saizi kwa sababu unaongoza ligi.

Na hutaki kusikia chochote zaizi ya kuambiwa unachukua ubingwa.
Ndo wachezaji wa Aina gani hao maana waliokuwepo wanafanya Tunashinda na tunafunga magoli mengi.
 
Wilfred Zaha anakusalimia hahaha
 
[emoji406][emoji406]Newcastle target Real's Kroos - Sunday football updates

[emoji457][emoji457]Newcastle want Ajax boss Erik ten Hag to be the club's new manager

[emoji457][emoji457]Liverpool are considering a move for Real Madrid and Serbia striker Luka Jovic, 23.

[emoji122][emoji122]Van de Beek adviced to change agent if he wants to leave United

[emoji625][emoji625]Liverpool are keen on Leicester and England winger Harvey Barnes, 23.

[emoji406][emoji406]Antonio Conte does not want to take charge of a team mid-season.

Read More [emoji3593][emoji3593][emoji3593][emoji3593]
 
Mkuu ratiba imewabeba mkuu mechi zenu mbili za mwisho ummecheza timu za mwisho Kwenye ligi.

Mlivyokuwa full mbona mlifungwa.

Hivi ndio mtaongoza ligi mpaka ligi inaisha ? Ndio mnavyoamini mashabiki wa Chelsea,kitu ambacho hakipo hicho
Ukija kushtuka ligi imeisha tumebeba kombe...

Kitu ambacho unashindwa kuelewa ni kwamba kikosi cha chelsea ni kipana kuliko hii timu yenu takataka.. Imagine akiumia tu VVD biashara inawakata.

Hivi katika mazingira kama hayo utajifanishaje na chelsea?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…