Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Wakuu tupo October na mpaka sasa Top performers wetu wanajulikana ishu watakaa aje fully fit na mechi zilivyo nyingi mara EPL, UCL, Kombe la Dunia, Euros, FA, Carabao nk...

Top performer ni Allison jamani huyu dogo ni level zingine yaaani sioni tukiwa salama bila huyu Samba boy... Jana katuokoa wakati beki ilivyopasuka...

Weakness yetu ni dhahiri kabisa ni Defence ni kama kuna muda wana switch off especially tukiwa tunaongoza mechi jana ushahidi upo nje nje hawakua kwenye ule ubora tuliotegemea... VVD ana safari ndefu sana kurudi kwenye summit. TAA anahitaji msaada anavyoshambulia kutoka kwa MF ishu sasa na hao MFs Keita na Henderson au Milner wanakwenda kushambalia ndio maana dogo anakua exposed mara nyingi...

Weakness nyingine bila Fabinho hatuna plan B kabisa pale kati sio Henderson, Keita, Milner wenye huo uwezo wa kucheza modern HM kama alivyo Fabinho...

Weakness nyingine pale mbele Jota na Firmino ni wazito fulani hawana false 9 proper speed kuna pass kadhaa nimeoma gemu tofauti wamekua wakiwekewa lakini unakuta hawafiki kwa wakati tofauti kabisa na Mane na Salah ambao speed yao ni top top speed with a mission..

Klopp anakazi sana maana kikosi finyu sana yaaani kuwaweka hawa wachezaji kua fit August mpaka Mei itakua mitihani sana ila hatuna namna lazima wakae fully fit tukihitaji ushindi wa makombe..
My top performers msimu huu ni
Allison
Salah
Fabinho
Robertson
Mane
Matip
VVD
Jones
Elliott.

My medium performers
TAA
Henderson
Keita
Firmino
Jota
Milner
Neco
Tsimikas
Ox.
Konate.
Taikumi
Origi.
Kelleher

YNWA
 
Wakuu tupo October na mpaka sasa Top performers wetu wanajulikana ishu watakaa aje fully fit na mechi zilivyo nyingi mara EPL, UCL, Kombe la Dunia, Euros, FA, Carabao nk...

Top performer ni Allison jamani huyu dogo ni level zingine yaaani sioni tukiwa salama bila huyu Samba boy... Jana katuokoa wakati beki ilivyopasuka...

Weakness yetu ni dhahiri kabisa ni Defence ni kama kuna muda wana switch off especially tukiwa tunaongoza mechi jana ushahidi upo nje nje hawakua kwenye ule ubora tuliotegemea... VVD ana safari ndefu sana kurudi kwenye summit. TAA anahitaji msaada anavyoshambulia kutoka kwa MF ishu sasa na hao MFs Keita na Henderson au Milner wanakwenda kushambalia ndio maana dogo anakua exposed mara nyingi...

Weakness nyingine bila Fabinho hatuna plan B kabisa pale kati sio Henderson, Keita, Milner wenye huo uwezo wa kucheza modern HM kama alivyo Fabinho...

Weakness nyingine pale mbele Jota na Firmino ni wazito fulani hawana false 9 proper speed kuna pass kadhaa nimeoma gemu tofauti wamekua wakiwekewa lakini unakuta hawafiki kwa wakati tofauti kabisa na Mane na Salah ambao speed yao ni top top speed with a mission..

Klopp anakazi sana maana kikosi finyu sana yaaani kuwaweka hawa wachezaji kua fit August mpaka Mei itakua mitihani sana ila hatuna namna lazima wakae fully fit tukihitaji ushindi wa makombe..
My top performers msimu huu ni
Allison
Salah
Fabinho
Robertson
Mane
Matip
VVD
Jones
Elliott.

My medium performers
TAA
Henderson
Keita
Firmino
Jota
Milner
Neco
Tsimikas
Ox.
Konate.
Taikumi
Origi.
Kelleher

YNWA
Salzbuorg hawa makinda wao wana watoa wapi karibu team nzimaa ni makinda sisi tunakwama wapi?

Kama ule mkoba wa club blug kinda tu hafu yupo makini
 
Salzbuorg hawa makinda wao wana watoa wapi karibu team nzimaa ni makinda sisi tunakwama wapi?

Kama ule mkoba wa club blug kinda tu hafu yupo makini
Salzburg walimwajili huyu Mjeremani Ralf Rangnick.

Alijiunga na Redbull Football Group wanaomiliki hizi timu za Red Bull 2012, Rangnick joined Red Bull as the director of football at Red Bull Salzburg and RB Leipzig; he also served as the head coach of the latter across two periods between 2015 and 2019.
Alikaa Red Bull miaka 7 na hakika kawaachia network murwa sana kuwadaka raw talent kwa bei chee kabisa kuwakuza na baadae kuwauza kwa faida.

At Red Bull, Rangnick helped oversee their expansion into European football, emphasizing the recruitment of unproven players and developing youth systems with a worldwide scouting base, alongside an attacking on-pitch philosophy across their clubs. As a result, Red Bull clubs rose in market value from €120 million to €1.2 billion during his tenure, with its largest club, RB Leipzig, peaking in value to €270 million in 2019. Their clubs have also seen sustained domestic success, and generated sizable profits with player transfers, which led to his promotion to head of sport and development in 2019. He resigned from Red Bull in 2020.

Rangnick invented Gegenpressing, whereby the team, after losing possession, immediately attempts to win back possession, rather than falling back to regroup.His sides have been noted for their pressing and high attacking output, as well as for popularizing zonal marking. Rangnick has cited his main coaching influences as Ernst Happel, Valeriy Lobanovskyi, Arrigo Sacchi, and Zdeněk Zeman,and is credited for influencing Thomas Tuchel, Julian Nagelsmann, Ralph Hasenhüttl, and Jürgen Klopp.

Kuna kipindi magazeti ya ubea yalisema Liverpool inamfuatilia kumwajili nikasema lool huu utakua usajili kama wa Klopp maana pata picha wote ni waumini wa gengenpressing hivyo hata usajili wa makinda ungefuata huo mkondo yaaani tungekua unstoppable maana tunakua na raw talent at our disposal...

Kwa sasa ameajiriwa Locomotive Moscow kama Head Of Sport and Development.

Huyo ndio siri ya mafanikio ya Red Bulls team..

YNWA
 
Red card zinawabeba nyie ngoja tukutane tena muone kazi itakayofanyika. Mtapata goli 3+ nyie mnabamizwa bao ngapi? Beki zenu ni rojo rojo sasa hivi na lile shati lenu Allison linaruka ruka tu ikipigwa imoo ..tuwape Kepa?? Fungueni pochi mpatr kipa bora kama Kepa hivi at least atawapeleka mbali ..huyu Allison msimu ujao mutamkataa tu. Umeona wapi makipa wa Brazil wakifika mbali.?
Dah! Bora sisi tulitoka washindi na Red card kuliko nyie mlio pgwa na Juventus tena team iliyo choka balaa mkamwagiwa kimoja tu point 3 zikaenda.
 
Wakuu tupo October na mpaka sasa Top performers wetu wanajulikana ishu watakaa aje fully fit na mechi zilivyo nyingi mara EPL, UCL, Kombe la Dunia, Euros, FA, Carabao nk...

Top performer ni Allison jamani huyu dogo ni level zingine yaaani sioni tukiwa salama bila huyu Samba boy... Jana katuokoa wakati beki ilivyopasuka...

Weakness yetu ni dhahiri kabisa ni Defence ni kama kuna muda wana switch off especially tukiwa tunaongoza mechi jana ushahidi upo nje nje hawakua kwenye ule ubora tuliotegemea... VVD ana safari ndefu sana kurudi kwenye summit. TAA anahitaji msaada anavyoshambulia kutoka kwa MF ishu sasa na hao MFs Keita na Henderson au Milner wanakwenda kushambalia ndio maana dogo anakua exposed mara nyingi...

Weakness nyingine bila Fabinho hatuna plan B kabisa pale kati sio Henderson, Keita, Milner wenye huo uwezo wa kucheza modern HM kama alivyo Fabinho...

Weakness nyingine pale mbele Jota na Firmino ni wazito fulani hawana false 9 proper speed kuna pass kadhaa nimeoma gemu tofauti wamekua wakiwekewa lakini unakuta hawafiki kwa wakati tofauti kabisa na Mane na Salah ambao speed yao ni top top speed with a mission..

Klopp anakazi sana maana kikosi finyu sana yaaani kuwaweka hawa wachezaji kua fit August mpaka Mei itakua mitihani sana ila hatuna namna lazima wakae fully fit tukihitaji ushindi wa makombe..
My top performers msimu huu ni
Allison
Salah
Fabinho
Robertson
Mane
Matip
VVD
Jones
Elliott.

My medium performers
TAA
Henderson
Keita
Firmino
Jota
Milner
Neco
Tsimikas
Ox.
Konate.
Taikumi
Origi.
Kelleher

YNWA
Boss P DAKA pale mbele angetufaa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom