Griezman vunja shingo hii takataka.
Hili shati likajifunze kwa Mendy namna ya kuzuia magoli ya kizembe.
Mpaka leo hii hao matakataka still ni unbeaten, ndio team iliyofunga goli 3+ katika mechi zake zote za away kwenye mashindano yote, ndio team iliyowafanya Chelwowowo mkapark bus kwa zaidi ya dakika 45.Hamna beki humu.
Kipa keshakuwa shati.
Hii timu inabebwa na wachezaji wa tatu tu.
Nyie ni matakataka.
Angalieni wanaume leo tunamnywa mtu bao sita.
Red card zinawabeba nyie ngoja tukutane tena muone kazi itakayofanyika. Mtapata goli 3+ nyie mnabamizwa bao ngapi? Beki zenu ni rojo rojo sasa hivi na lile shati lenu Allison linaruka ruka tu ikipigwa imoo ..tuwape Kepa?? Fungueni pochi mpatr kipa bora kama Kepa hivi at least atawapeleka mbali ..huyu Allison msimu ujao mutamkataa tu. Umeona wapi makipa wa Brazil wakifika mbali.?Mpake leo hii hao matakataka still ni unbeaten, ndio team iliyofunga goli 3+ katika mechi zake zote za away kwenye mashindano yote, ndio team iliyowafanya Chelwowowo mkapark bus kwa zaidi ya dakika 45.
Kwa quality hizo kama sisi ni matakataka acha tuendelee tu kuwa matakataka maana tunafurahia kuwa hivyo.
Midfild zinazo mudu majukumu yao hatuna mzigo unaelemea nyuma jana Boby amerudi sanaaa nyuma kusaidia majukumDefense yetu inapwaya balaa magoli tunayofungwa yanaepukika kabisaa
We march on...YNWA. We bagged the 3 points nothing else matters to us.
Huyu dogo Correa hua ni taabu tupu akicheza na Carasco wanasumbua sana aisee...Jamaa aliamini walio anza wangetosha kutusumbua sub ni tano walio nje wamalize kazi bahati haikua yake grizman katubeba
Even Klopp dont like Simeon style but his style do deliver man...Big NO personaly i don't like his football style
Mambo ya "isingekua" kwenye football hayapo na hayafanyi kazi.Aisee isingekuwq red card ya greizman simion angewachachafya .....
Pengo la Gini limezibwa hatuna wasiwasi.Mkuu hawa FSG wanasema huo mpango.
Real Madrid wanaombea iwe kama Gini ili akacheza na Mbappe pale.
YNWA
Kaziba nani?Pengo la Gini limezibwa hatuna wasiwasi.
Nani huyo Keita ama...Pengo la Gini limezibwa hatuna wasiwasi.