Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna jamaa yangu ni mshabiki wa man u lia lia amenitumia voice note jana ananiambia team ni kubwa kuliko kocha. Yani Man U wana wachezaji ila kocha hamna.
Kabisa kabla hajaja Thomas pale Chelsea ilikua matokeo ni kama haya ya Ole yaaani hovyo ajabu sasa wachezaji wale wale jamaa anawatumia na wakashinda Champions League, Super Cup na kumaliza big 4..sasa kwa mfano Manchester United wakampata Conte na kikosi kile kile mbona utashangaa watakvyoamsha....

Kwa hali waliyo nayo tunakutana nao tarehe 24 Jumapili ijayo kwenye ligi pale Trafford sitarajii kingine zaidi ya pointi 3.

YNWA
 
Guardiola akipewa hiyo timu huo uchafu wote anaufagia
Fergie alikua kama Klopp unachanganya vipaji na wapambanaji na kupata uwiano cha kikosi...

Kuna wachezaji pia wapo Liverpool pale Ethad hawapati hio namba hata benchi lakini kwa Klopp wanakua wanajeshi wake..

Ingekua vipaji pekee ndio kigezo ndugu yangu naamini PSG na Citizens mapema wangeshachukua Champions League.

Manchester United naona wanashinda ya kocha kuliko wachezaji.

YNWA
 
Fergie alikua kama Klopp unachanganya vipaji na wapambanaji na kupata uwiano cha kikosi...

Kuna wachezaji pia wapo Liverpool pale Ethad hawapati hio namba hata benchi lakini kwa Klopp wanakua wanajeshi wake..

Ingekua vipaji pekee ndio kigezo ndugu yangu naamini PSG na Citizens mapema wangeshachukua Champions League.

Manchester United naona wanashinda ya kocha kuliko wachezaji.

YNWA
ni kweli ila klopp mwenyewe kina benteke, sakho, Allen, Lucas, skrtel, lallana walimshinda, hao wachezaji wa Man u wengi ni overhyped sio kwamba wana uwezo mkubwa , pia hawana consistency mfano Pogba akicheza vizuri leo wanapiga kelele kweli kwamba ni best player ila kupata performance yake tena ni baada ya mechi 7 tena,. Alikwepo morinyo wakasema hajui kumtumia Pogba, kaja ole naye eti hajui kumtumia Pogba, huoni hapo tatizo ni wachezaji mfano Pogba
 
umetolea mfano citizen, uefa sawa hawajabeba ila ligi miaka mi nne wana makombe 3 na epl ilivyo na ushindani, hiyo ndiyo faida ya kuwa na wachezaji wazuri pia, sisi pia tumekwamishwa na wachezaji wabovu tukijiaminisha ni wazuri mfano Keita, Ox, nk
 
Kabisa kabla hajaja Thomas pale Chelsea ilikua matokeo ni kama haya ya Ole yaaani hovyo ajabu sasa wachezaji wale wale jamaa anawatumia na wakashinda Champions League, Super Cup na kumaliza big 4..sasa kwa mfano Manchester United wakampata Conte na kikosi kile kile mbona utashangaa watakvyoamsha....

Kwa hali waliyo nayo tunakutana nao tarehe 24 Jumapili ijayo kwenye ligi pale Trafford sitarajii kingine zaidi ya pointi 3.

YNWA
Sure asee. Kwa ile team yao wakifunguka lazima tuwale kichuri mapema sana. Hiyo game tuta score more than 2 goals.
 
ni kweli ila klopp mwenyewe kina benteke, sakho, Allen, Lucas, skrtel, lallana walimshinda, hao wachezaji wa Man u wengi ni overhyped sio kwamba wana uwezo mkubwa , pia hawana consistency mfano Pogba akicheza vizuri leo wanapiga kelele kweli kwamba ni best player ila kupata performance yake tena ni baada ya mechi 7 tena,. Alikwepo morinyo wakasema hajui kumtumia Pogba, kaja ole naye eti hajui kumtumia Pogba, huoni hapo tatizo ni wachezaji mfano Pogba
Point taken upo sahihi mia kwa mia ishu kuu ni hawana consistency.

YNWA
 
Sure asee. Kwa ile team yao wakifunguka lazima tuwale kichuri mapema sana. Hiyo game tuta score more than 2 goals.
Bwana wee bila ukuta imara EPL kupasuka kupo kabisa ndugu. Na pale kwa sasa ukuta wao na mejeruhi unakua rotated na kusababisha magoli. Gemu ya Leicester Degea aliokoa mashuti nadhani 7 kati ya mashuti 11 ya hatari sana na magoli yote ilikua ni umbovu wa beki na si kingine.

Kwa moto tulionao na hatuna main injury concern kwa mechi hii ya mwisho basi pale sioni kingine zaidi ya ushindi.

YNWA
 
umetolea mfano citizen, uefa sawa hawajabeba ila ligi miaka mi nne wana makombe 3 na epl ilivyo na ushindani, hiyo ndiyo faida ya kuwa na wachezaji wazuri pia, sisi pia tumekwamishwa na wachezaji wabovu tukijiaminisha ni wazuri mfano Keita, Ox, nk
Ox pengine tunahesabu siku zipo tetesi jamaa zangu DullyJr na Aaron Arsenal wanamtaka mchezaji wao arejee nyumbani.

Keita duh huyu bwana gemu hii akicheza powa basi gemu inayofuata utasikia kaumia mazoezini yaaani pale RB walituuzia babu babuka.

Haya Mkuu zipo tetesi Ole mechi 3 zijazo asipoonyesha board pointi 9 zimelala kwao basi kibarua kinaota nyasi.. Ole ana 3 gemu zijazo EPL ni vs Liverpool, Tottenham na Manchester City 😂😂😂😂😂... Gemu za Champions League na Carabao hazitaokoa kibarua chake wao wenye timu wanakomaa na EPL..

YNWA
 
Hata Continho walitamani abaki ikashindikana
FSG ni habari nyingine aisee wanakwambia mishahara, kununua nk lazima iwe generated na cash kutoka klabuni na si vinginevyo...
Hivyo hata Salah akiona mshahara wanaompa sio halali yake siwezi kumlaumu kuodoka kama kuna mahala atapata zaidi.
Tukumbuke hawa jamaa ni professionals pamoja na kuvaa ule uzi kwa pride na kujituma mwisho wa siku its comes down to payment hivyo sijawai kulaumu mchezaji kutaka maslahi zaidi na bora kutoka na hasa wenye huu umri wa Salah inakua tricky sana.
After all kwa sasa tofauti ni miaka ileeee tuna mvuto aisee wachezaji wengi wanahamu kucheza chini ya Klopp kupata ile hug 🤗 na kusikia Anfield vibes haha who doesn't lol...

YNWA
 
Mkuu hao Man U,kwa namna walivyocheza Jana nimeona Kabisa tunachukua point pale kiulaini sana maana ukutawetu sio wa kitoto na tunafunga sana,Man U kila mechi lazima aruhusu goli tu, yaani ni wabovu sana na wachezaji wake ni wavivu balaa maguire ukimkaba kwa nguvu unachukua mpira.

Maneno kama haya ni Vizuri angeuasema Ollachuga lakini sio Legend kama wewe (Joking).

Nadhani unaelewa wazi Manure anapokutana na Liverpool huwa hakuna mechi rahisi kama unavyodhani, huwa wanafufuka from nowhere kutufunga au kulazimisha sare.
Ndani ya miaka 5 iliyopita EPL tumeweza kuwafunga mara 2 tu (Naweza kusahihishwa). Hii yote ni kuthibitisha ugumu na kukosa mbinu tunapokutana na Manure.
 
Lukaku ni striker tena wa box to box, Salah ni winga, wapi na wapi
Salah ni mzuri kwenye dribling, Lukaku hata kuutuliza mpira hawezi yeye ni kushuti tu na magoli yake yanapatikana hivyo na striker wengi pure namba 9 wako hivyo, hata Ronaldo Delima kapata umaarufu wa kufunga sana kwa staili hiyo hiyo ya Lukaku, anapikiwa yeye anafunga. Salah magoli yake anapika mwenyewe hasubiri ahudumuiwe kama Lukaku

Ni dhambi kubwa kumlinganisha Lukaku na Salah, labda tumlinganishe kwenye magoli na assists na anadhani Salah atawin, upepo mzuri uko kwake tangu atoke Chelsea

Mara nyingi huwa unapindisha ukweli ambao unajua kuwa ni ukweli, ila leo umenyooka kwenye ukweli.
 
Adjustments.jpg
 
Nani anaikumbuka hii mechi? Ilikuwa dhidi ya nani na mwaka gani? Kwanini Gerrard alivaa jezi namba 08 na alifanya nini kwenye hiyo mechi.
57180712-steven-gerrard-of-liverpool-bows-his-head-as-he-walks_crop_exact.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom