lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,480
Lukaku ni striker tena wa box to box, Salah ni winga, wapi na wapiTuendelee kumlinganisha LUKAKU na SALAH au tuishie mechi hii
Salah ni mzuri kwenye dribling, Lukaku hata kuutuliza mpira hawezi yeye ni kushuti tu na magoli yake yanapatikana hivyo na striker wengi pure namba 9 wako hivyo, hata Ronaldo Delima kapata umaarufu wa kufunga sana kwa staili hiyo hiyo ya Lukaku, anapikiwa yeye anafunga. Salah magoli yake anapika mwenyewe hasubiri ahudumuiwe kama Lukaku
Ni dhambi kubwa kumlinganisha Lukaku na Salah, labda tumlinganishe kwenye magoli na assists na anadhani Salah atawin, upepo mzuri uko kwake tangu atoke Chelsea
