OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Acha wapigwe bana mkuu kwani shi ngapi?? Hahahaha sema nini acha wa droo tuu mkeka usichanike![]()
Ollachugaaa tafadhali waombee hata draw nimeweka 15k ujue![]()
[em![]()
Acha wapigwe bana mkuu kwani shi ngapi?? Hahahaha sema nini acha wa droo tuu mkeka usichanike![]()
Ollachugaaa tafadhali waombee hata draw nimeweka 15k ujue![]()
[em![]()
Mane sijui kapatwa na niniHii finishing ikiwa clinical zaidi ninaamin huu msimu tutawakimbiza sana tena sana.
Mane huwa anakipind na kipind. Kuna muda mane huwa anafurahisha ila kuna muda anakera sana.Mane sijui kapatwa na nini
Hii finishing ikiwa clinical zaidi ninaamin huu msimu tutawakimbiza sana tena sana.
Au sioMsipokua makini kuna timu leo inaenda kuitia aibu Top four![]()
Hahahaha eti umepata mchango wa arusi haha imekaaaa powaaaaaaaaaaa...
Bila shaka vijana watapambana kusaka ushindi muhimu sanaaa pale Elland Road hua pakiwa na mashabiki sio mahala powa lakini tutakomaa mwanzo mwisho..
Jiadae kula supu aisee tena ya kuku kienyejiiiiiii...
Hakika sioni tena ile gepu ya pointi 10+ msimu huu kwani ushindani upo juu sana EPL....
Hio listi yako imekaa powa so far naona msimamo unaweza ukawa hivi mpaka December 26th
Manchester City
Chelsea
Liverpool
Manchester United
Leicester
Tottenham
Everton
Kuanzia January 2022 onwards ndio tutajua kila mmoja anatafuta kipi aidha EPL trophy ama kubakia Big 4.
YNWA



Hii liverkuku hii?? Ubingwa gani kwanza munataka nyie takataka..!?Acha wapige Kelele Salah ndio top scorer
Liverpool ndio bingwa
Hutaki kunya boga.
Supu kama supu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥....Mkuu nipo hapa nakunywa fanta orange nasubiri mechi yenu iishe nichukue 250k yangu. Cardiff kashashinda atlentiko madrid, Valencia, lens bado Nice yupo dakika ya 90 anaongoza na liver pia anaongoza kuna dalili zote mimi kutoka na hii 250k.
Upo wapi kesho tunywe supu pale Katalunya Mwenge.![]()