Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Wape Sterling, Jesus na B Silva ndugu uone moto wao...Kwa iyo arsenal ndio umewaona mafalaa hahaaaaa
YNWA
Wape Sterling, Jesus na B Silva ndugu uone moto wao...Kwa iyo arsenal ndio umewaona mafalaa hahaaaaa
Mpaka sasa roho safi Manchester City bingwa mtarajiwa kwa usajili huu wa kwetu wa ku unga unga mbona hatuna chetu...Wanaleta American policy ya sell first before buying ...matokeo yake watu washajua tuko desperate kuuza hawaji .. wanasubiri dirisha likaribie tuuze bei poa...
Hii policy inaanza kutuumiza ...
Uzeni front yenu yote, na mabeki kadhaa mpate hela ya mshahara wa messi nyie si mnauza ili mnunue..Oya hatumchukui Messi
Wewe unaishi dunia ipi?? Kila mtu anajua ubingwa unapenda darajani ..wewe upo upo tu..eboo!!Mpaka sasa roho safi Manchester City bingwa mtarajiwa kwa usajili huu wa kwetu wa ku unga unga mbona hatuna chetu...
Yaani mpaka kuuza ndio kununua...
Huku kikosi cha kwanza kwanza kinaelekea kuchoka maana wale top performers wanaingia almost 30 yrs hivyo rebuilding lazima ianze msimu huu.
YNWA
Mkuu city ya sasa inatafuta CL ,so tunaanza msimu kivingne ,njoo uone Leo tunavochukua kombe mbele ya lecister cityWape Sterling, Jesus na B Silva ndugu uone moto wao...
YNWA
Ollachuga Oc kwema kaskazini?Wewe unaishi dunia ipi?? Kila mtu anajua ubingwa unapenda darajani ..wewe upo upo tu..eboo!!
Sijui kwa nini hii UCL inawapiga chenga vile maana bado mna kikosi kizuri mno sema tu kocha wako anjiresi vimbaya mno kwenye selection ya kikosi hata ile gemu ya Chelsea ni Pep aliwaangusha kwa kutafuta headlines...Mkuu city ya sasa inatafuta CL ,so tunaanza msimu kivingne ,njoo uone Leo tunavochukua kombe mbele ya lecister city
Mkuu city ya sasa inatafuta CL ,so tunaanza msimu kivingne ,njoo uone Leo tunavochukua kombe mbele ya lecister city
Msimu ujao tutaongea vizuri maana ni mwendo wa kugawa vibao mpaka kieleweke.Ollachuga Oc kwema kaskazini?
Hua nakwambia uwe na maneno ya akiba hii ndio EPL ndugu..
Nimeona mpo kwa Lukaku mazimaaaa hongereni sanaaa....
Kila la kheri kumvua kipara ubingwa wake...
YNWA
Werner huyu huyu na kipa peke hua anakosa..Msimu ujao tutaongea vizuri maana ni mwendo wa kugawa vibao mpaka kieleweke.
Werner Lukaku Mount -- hii front itavunja vunja kila aina ya ukuta.
Werner Harverts Mount -- hii pia itakuwa ni balaa na nusu.
#CFC
Pain killer njoo huku unaitwa.Tupe matokeo basi
Werner King of assist ..hakuna ambaye hajui kuwa Werner ni threat kwa timu pinzani ..hivyo ukimweka na Lukaku Ndo kabisa wakina vvdna Allison wajiandae ..utakuja kunishukuru baadae..Werner huyu huyu na kipa peke hua anakosa..
Lukaku mmepigwa ndugu miaka 28 na ule mkwaja wote duuh hizi ela za mafuta hua zina balaaa sokoni.
YNWA
Hivi mlitoa mpunga wote ule kwa kuleta assist tu pale darajani....Werner King of assist ..hakuna ambaye hajui kuwa Werner ni threat kwa timu pinzani ..hivyo ukimweka na Lukaku Ndo kabisa wakina vvdna Allison wajiandae ..utakuja kunishukuru baadae..
Yaaani huyu Klopp mpaka dirisha linafungwo mbona tutasema yote.Tayali huko tushatangazawa kifaa kipya tena kataika nafasi mpya ya midfild ha ha haa
Dogo asili yake ni mshambuliaji wa kulia ila ndo hivyo kapewa majukumu ya kati maana kwa ufundi wa Kloop kuna watu hawagusiki.