Mkuu dong yi kwanza hili la kuodoka Klopp sahau yaani hawa FSG hawana mpango wa kumwodoa labda atake mwenyewe.
Ipo hivi chini ya uongozi wa Klopp Liverpool imeongezeka valua yake kwa asilimia 165.
View attachment 1778437
Tazama mwenyewe hapo juu. Liverpool kwa sasa ina value ya usd 4.1 billions. Sasa ndugu hawa mabeberu unadhani kwa kupanda kwa value ya Klopp watamwodoa Klopp hivi hivi.
View attachment 1778450
Mark you Manchester United ina value ya dollar 4.2 billions pamoja na kutawala soka la Uingereza ndani ya miaka 30.
Tazama Klopp effect inainyanyua timu kibiashara. Yaaani huyu tunae. Wewe unadhani angekua kocha Rodgers haya yangewezekana wapi.
Cha msingi ni wenye timu waelewe tu kwamba kushindana na timu bora kunihitaji Klopp awezeshwe sokoni. Kushiriki UCL na kushinda ndio kunaleta haya yote. Kushiriki EPL na kushinda ndio kunaleta haya yote. Kwa kifupi mafanikio uwanjani yanaleta mafanikio kibiashara yanavuta Makampuni makubwa kuwekeza nk.
YNWA