Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Klopp amesema wachezaji wengine wamekua ni wahanga wa circumstances hivyo ana imani msimu mpya akiwa na kikosi kamili watakua msaada kwake.At the Club, we have Jones, Ben Woodburn, Rhys, Harvey Elliot, Neco, Billy K.........
at this rate, tusishangae hata hao vijana nao wanapotea,....... maana so far naona Jk keshaanza kumpiga bench Jones mazima mazima in favour of Milner,
maana ukijaribu kulinganisha club zingine (chelsea, arsenal, utd) unaona wenzetu atleast kuna vijana wanatembea nao.....
could it be Klop is overrated kwenye eneo la kuwakuza vijana? forget about TAA for a moment!
YNWA

