Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool hata next season mtayumba, sioni mkibadilika kutoka ktk hali hii mliyonayo sasa
Front 3 yenu inakosa magoli sana, ili liverpool izaliwe mpya inaitaji ku'spend si chini ya pound laki mbili, wale wamarekani wachumi mno, hawatotoa mzigo wa kutosha
Hawa FSG ni waumini wa sell to buy hivyo lazima hapa mchezaji mmoja pale atolewe kafara tetesi ni Salah 😔 😔 😔 maana sio hawa wa akiba akina Origi tukipata hata £50m kwa wote itakua busu la malaika.

Tuna hali ngumu sana.

YNWA
 
Huyu si yule Hendo mnayempondagaa ama?

Hamna Kitu pale! Watu ni wepesi wa kusahau tu, tulifungwa Mechi 6 mfululizo hapo Anfueld na Kepteni akiwemo mbona hakuibalance hii Timu?
Bora tangu aumie tumevuna points nyingi.
Na akae hukohuko Wodini abebe Mabango ya "No European Super League".
 
Hawa FSG ni waumini wa sell to buy hivyo lazima hapa mchezaji mmoja pale atolewe kafara tetesi ni Salah 😔 😔 😔 maana sio hawa wa akiba akina Origi tukipata hata £50m kwa wote itakua busu la malaika.

Tuna hali ngumu sana.

YNWA

Wazunhu ni wanafiki tu hawana Consistency lakini wangeendeleza yale Mabango ya #FSGOUT pale nje ya Anfueld basi wangelibadilika au wangeiwacha Timu.
 
Ingekua kutumia ela ndefu ndio kupata ubingwa basi tangu wametua mabilionea wenu hapo Ethad mngekua mabingwa wa EPL tangu 2008 mkichukua kila msimu na hata UCL mngekua nayo lakini mpaka sasa mpo kama hampo UCL.

Ipo hivi Liverpool sisi ni smart buying chini ya Klopp na makombe yanakuja.

Mark my words Liverpool tunarudi katika ubora msimu ujao na hata sasa Kocha wako anasema tishio kwake msimu ujao ni Liverpool sasa kama wewe unajua zaidi ya Pep utajiju .

FSG ubahiri halina ubishi wanasema hawana visima vya mafuta.

Usajili kwetu umeanza mapema dogo Kanoute ametua sasa huyu combination yake na VVD ni noma Yaaaani ubora wa Robbo na TAA utauona msimu ujao.

Furahia sasa maana msimu ujao mtanuna.

YNWA
Kama hii ndio Liverpool ya msimu ujao basi sitashangaa mkichezea vipigo vya hatari kwan mpaka sasa hamnauwezo Wa kumfunga hata Brighton ,Newcastle,lead hata Sheffield anaweza chukua point hapo anfield...


Wacha ndoto za mchana ,kama msipo fumua kikosi mnaenda kushuka daraja I promise you ..

Mpira hauna bahati ni kuwekeza ..

Unasema

TAA ,robo, mane,salah ,vvd ,Gomez ,hao ndio walikuwa nguzo ya Liverpool ndio wamewapa EPL +UEFA kama unadhani wao ni robot wanatumia mafuta subili uone next season ...

Yaan kama unasema hao ndio wanaenda kutetea ubingwa next season ,subili utaona mwenyewe


Akili inatamani kucheza mpira ila mwili unakata ...
 
Wazunhu ni wanafiki tu hawana Consistency lakini wangeendeleza yale Mabango ya #FSGOUT pale nje ya Anfueld basi wangelibadilika au wangeiwacha Timu.
Zipo tetesi FSG wamekataa ofa ya £3b wiki hii.

FSG wameshajua nguvu ya EPL kwenye kuleta mkwaja wa nguvu, aidha European Super League ama EPL mpya ambayo watakua na say kubwa kuliko hii ya sasa ndio maana hawa ndoto yao ni kua na ligi mfumo wa Franchise kama NBA.

Sasa Serikali ya Uk ndio ipo moto kuwazima hawa mabeberu ili wajue nafasi zao kama guardian wa hizi klabu huku real owners wakiwa ni mashabiki.

Hii ngoma bado sana aisee. Natarajia mashabiki wakisharejea uwanjani msimu ujao itakua vurugu wakidai vichwa vya hawa mabeberu.

YNWA
 
Kama hii ndio Liverpool ya msimu ujao basi sitashangaa mkichezea vipigo vya hatari kwan mpaka sasa hamnauwezo Wa kumfunga hata Brighton ,Newcastle,lead hata Sheffield anaweza chukua point hapo anfield...


Wacha ndoto za mchana ,kama msipo fumua kikosi mnaenda kushuka daraja I promise you ..

Mpira hauna bahati ni kuwekeza ..

Unasema

TAA ,robo, mane,salah ,vvd ,Gomez ,hao ndio walikuwa nguzo ya Liverpool ndio wamewapa EPL +UEFA kama unadhani wao ni robot wanatumia mafuta subili uone next season ...

Yaan kama unasema hao ndio wanaenda kutetea ubingwa next season ,subili utaona mwenyewe


Akili inatamani kucheza mpira ila mwili unakata ...
Wewe jamaa yaaani unaanza kupiga ramli za 2021 2022 sasa lol...

Upo sahihi kwamba hawa hawatumii mafuta hivyo lazima kuchoka kupo na kwa vile benchi limepwaya basi twaweza jikuta tulipo sasa msimu ujao.

Tuna imani na Edwards kwamba walipokosea watafanya kweli kwenye hili dirisha la usajili.

Kushuka daraja sahau kabisa.

Furaha yako ni Liverpool ikiwa butu hivi ili ubingwa kwako iwe njia nyeupe. Haha haitakua rahisi hivyo ndugu.

Tushaanza usajili na kwa ushauri zaidi furahi kwa sasa maana utanuna msimu ujao tunakuja kivingine.

YNWA
 
Jurgen Klopp’s side have taken just five points from a possible 27 against Fulham, Brighton, Burnley, Newcastle and West Brom this season.

Poor Liverpool.

YNWA
 
Tamaa za hizi timu 12 zitawa cost.

UEFA president Aleksander Ceferin has insisted the 12 clubs who attempted to set up the breakaway European Super League will face sanctions for their actions.

YNWA
 
Gossip Watch.

Liverpool are reportedly interested in signing Torino striker Andrea Belotti this summer.

According to Italian news outlet Tuttosport, the Reds are among three Premier League clubs to show an interest in the striker.

Come on Klopp bring Belotti at the Kops.


YNWA
 
Gossip Watch

Liverpool manager Jurgen Klopp is reportedly urging his board to seal the transfer of Sevilla defender Jules Kounde.

The highly-rated French centre-back is also being targeted by Real Madrid, but Klopp is supposedly pushing for his club to win the race for his signature, according to Diario Gol.

YNWA
 
Gossip Watch
Liverpool are reportedly eyeing up a potential transfer swoop for Sparta Prague wonderkid Adam Hlozek this summer.

The 18-year-old looks a hugely exciting prospect and it seems Reds scouts have been impressed by him as he’s linked with a potential £15-20million move, according to Football Insider.

YNWA
 
Why FSG were joining the ESL.

What was driving Liverpool in this deal was the opportunity to sell their own broadcast rights,” Kieran Maguire said.

“The terms allowed them to do that for three home matches, effectively on a pay-per-view basis.

“If you sell the broadcast to 50m people around the world and charge them £5 each, you’ve got £250m per football match.

“You’ve got the rights to do that three times so it could go up to £750m.

“On top of that, you’ve got all the Premier League TV money and the money from all the other franchise league matches.”

Money talks lol.

YNWA
 
Nyie man shity makombe size yenu ndo kama carabao ya jana UEFA msahau. Fainali tunajua ni PSG Vs Real Madrid
Kama hii ndio Liverpool ya msimu ujao basi sitashangaa mkichezea vipigo vya hatari kwan mpaka sasa hamnauwezo Wa kumfunga hata Brighton ,Newcastle,lead hata Sheffield anaweza chukua point hapo anfield...


Wacha ndoto za mchana ,kama msipo fumua kikosi mnaenda kushuka daraja I promise you ..

Mpira hauna bahati ni kuwekeza ..

Unasema

TAA ,robo, mane,salah ,vvd ,Gomez ,hao ndio walikuwa nguzo ya Liverpool ndio wamewapa EPL +UEFA kama unadhani wao ni robot wanatumia mafuta subili uone next season ...

Yaan kama unasema hao ndio wanaenda kutetea ubingwa next season ,subili utaona mwenyewe


Akili inatamani kucheza mpira ila mwili unakata ...
 
Mwanaume ni mimi niliyebeba makombe yote uyajuayo wewe shinda UEFA kwanza ndo uanze kujiita mwanaume kila Mwaka kazi kushindania mickey mouse cups waachie hata na wakina spurs na Aston villa wagombanie hayo ndoo maana UEFA inawashinda tamaa tu
Pambania kwanza top 4 ndio uje ubishane na wanaume ..!


30 years loading ...
 
Mwanaume ni mimi niliyebeba makombe yote uyajuayo wewe shinda UEFA kwanza ndo uanze kujiita mwanaume kila Mwaka kazi kushindania mickey mouse cups waachie hata na wakina spurs na Aston villa wagombanie hayo ndoo maana UEFA inawashinda tamaa tu
Huna uwezo Wa kuchukua hata carabao ,unapita na kanga imelowa mbele ya wanaume ambao tunaenda kuwapelekea moto PSG ..

Kwanza Kubishana na timu kama Liverpool ni matumizi mabaya ya akili level zangu Madrid ,buyern Munich ,PSG ..

Nyie endeleeni kupambana na Burnley ,Southampton, ndio level zenu nyie ...
 
Nyie kuku mmeamkaje? Bado munalala tu au hamjui kesho tunaenda msulubisha Basha wenu madirid maana kwa kipigo Cha fainal ya 2018 na juzi robo fainal, basi sisi Kama Chelsea tumeamua kwa dhati kabisa kwenda kutowa kipigo kitakatifu hapo Spain ili kumaliza kabisa mzizi wa fitina maana nyie kuku mmekuwa wateja wazuri wa zidane.

Ni Bora muamini kwamba Chelsea atashinda kuliko kuweka matumaini kwa madirid halafu apigwe.

#CFC
 
Wanaume ni waliochukuwa Champions League wewe hutambuliki ulaya eti unajilinganisha na Bayern, Madrid kwa lipi sasa
Huna uwezo Wa kuchukua hata carabao ,unapita na kanga imelowa mbele ya wanaume ambao tunaenda kuwapelekea moto PSG ..

Kwanza Kubishana na timu kama Liverpool ni matumizi mabaya ya akili level zangu Madrid ,buyern Munich ,PSG ..

Nyie endeleeni kupambana na Burnley ,Southampton, ndio level zenu nyie ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom