Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Game ya pili sasa tunaruhusu goli jioni kabisa. Against Leeds tulifungwa dk 85. Leo dk za majeruhi. Hii game tutaijutia sana.

Kwa mwendo huu hata futuhi tunaweza tusipate.

Klopp leo kaja na formation nyingine. Sikuwahi kuiona kabla.4-2-3-1. Bobby akiwekwa kama mmaliziaji pale juu. Mane,Jota,na Salah wakitengeneza ule utatu tuliouzoea. Ginni na Thioago wakikishika kiungo.

Liverpool tuna mmiss sana captain, hizi ndio game zake. Angekuwepo wallah tugepata alama 3.
Tumeipenda wenyewe, hamna namna ni yetu.
 
Liverpool top-scorers this season in all competitions:

29 - Salah
28 -❌
27 -❌
26 -❌
25 - Jota + Mané
24 -❌
23 -❌
22 -❌
21 -❌
20 -❌
19- Mané + Firmino
18 -❌
17 -❌
16 -❌
15 -❌
14 -❌
13 - Mané
12 - Jota
11 - ❌
10 - ❌
9 -❌
8 -❌
7 - ❌
6 - Firmino

One man band
 
Kama tunakubali au tunakataa lakini ukweli ni kwamba hii Timu inamuangusha Salah
Sio mnamuangusha klopp? maana game ya leo angekuwa mwalimu wa shule viboko vingewahusu wachezaji wa liverpool, mmedraw kizembe sana hata mimi Arsenal fan nimeumia
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Game ya pili sasa tunaruhusu goli jioni kabisa. Against Leeds tulifungwa dk 85. Leo dk za majeruhi. Hii game tutaijutia sana.

Kwa mwendo huu hata futuhi tunaweza tusipate.

Klopp leo kaja na formation nyingine. Sikuwahi kuiona kabla.4-2-3-1. Bobby akiwekwa kama mmaliziaji pale juu. Mane,Jota,na Salah wakitengeneza ule utatu tuliouzoea. Ginni na Thioago wakikishika kiungo.

Liverpool tuna mmiss sana captain, hizi ndio game zake. Angekuwepo wallah tugepata alama 3.
Tumeipenda wenyewe, hamna namna ni yetu.
Klopp is shaping this season end downfall.

Ilikua haja gani kumtoa Thiago ambae pale kati alitawala vyema sana.

Hatuna wa kumlaumu yaani hawa wachezaji pale mbele hakuna mwenye afadhali.

Leo tumefikisha pointi 15 tumepoteza kwenye winning position. This is poor.

YNWA
 
Kabak basi tena?
Gomes huko pembeni ana shida sana
Bora akicheza centre back
Kabak maamuzi yake bado na huku dili la Kanoute tayari.

Ukishaona hivyo ujue aidha Matip safari ya bye bye imeiva ama Kabak anarejeshwa kwao.

Gomez kwenye 4 3 3 akicheza RB anakua mzigo kwani hapaleki mashambulizi mbele pengine msimu ujao Klopp anakuja ki vingine.

YNWA
 
natamani warudishe mashabiki uwanjani ili team zipate morali na wachezaji wapate motisha ya kelele zao ili waache uzembe
Kwa kasi ya chanjo wanavyokwenda nayo naona msimu ujao mashabiki wapo uwanjani.

Kesho fainali ya Carabao watakuwepo kadhaa na pia Euro 2020 wataruruhusu.

Hopefully hakutakua na outbreak mpya ya corona Uk tena.

Pazuri ni kwamba tangu Corona imeanza ilikua ndio ugonjwa unaoongoza kuua UK lakini mwezi uliopita na mwezi huu wagonjwa wa corona wanaofariki wamepungua sana kiasi sasa corona inashika nafasi ya tatu kwa wagonjwa waliofariki. Hii wenyewe wanasema inatokana na asilimia kubwa ya wananchi wao kupata chanjo na pia kudhibiti wageni kuingia nchini mwao kutoka zile nchi zenye hali mbaya kuwapelekea variant mpya.

Hali hii inatupa matumaini mashabiki kurejea uwanjani msimu mpya.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom