Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,157
- 17,051
Captain captain captain....
Heddo anajua kuibalance team. Wallah tuna mmiss.
Heddo anajua kuibalance team. Wallah tuna mmiss.
Mkuu hakuna njia ya Liverpool kusimama tena zaidi ya kusubili miaka 30 ...
Bingwa Wa EPL anahaso kupambania top 4 ..
Haijawahi kutokea aisee![]()
Captain captain captain....
Heddo anajua kuibalance team. Wallah tuna mmiss.










Kuniambia nisubiri 30 yrs ni kunikosea heshima...Next SEASON...NARUDI KWA FUJO MKUU..MWAKA HUU NAKUBALI NIMEPOTEZA...BT TOP FOUR ..NIPO...MARK MY WORDS.Mkuu hakuna njia ya Liverpool kusimama tena zaidi ya kusubili miaka 30 ...
Bingwa Wa EPL anahaso kupambania top 4 ..
Haijawahi kutokea aisee![]()
Haikuhusu...Kwahiyo nyie kuku mwakani Europa![]()
Umenena vemaMkuu hii ni kawaida sana. May be kama wew ni mgeni kwenye ulimwengu wa soka. Hakuna sababu ya kuwalaumu Liverpool. Kwani misimu miwili mfululizo wametumia Energy nyingi kupita maelezo. Ukizingatia wengi wa wachezaji ni wale wale.
Duuh jitahidi kua na maneno ya akiba.Mkuu hakuna njia ya Liverpool kusimama tena zaidi ya kusubili miaka 30 ...
Bingwa Wa EPL anahaso kupambania top 4 ..
Haijawahi kutokea aisee![]()
Kati ya mechi za ovyo kabisa kuchezwa na front 3 yetu ni hii. Si kwa kukosa magoli yale.Angalau tumeweka record kwenye ulimwengu wa mpira, kwamba timu iliongoza league hadi krismas kisha ikashindwa kuingia TOP 4.
Kwa level mliyokuwa mmefika hata kama team kupolomoka tungewaona nafasi ya 3 au 4 uhakika ..Duuh jitahidi kua na maneno ya akiba.
Bila kutazama miaka ya nyuma sana. Hivi karibuni 2016 Leicester walichukua ubingwa EPL je msimu uliofuata hata top 6 hawakupata na walimaliza msimu uliofuata nafasi ya 12.
Chelsea nao wakachukua ubingwa 2014 2015 na hata hio Top 6 hawakufika walimaliza msimu uliofuata wakiwa nafasi 10.
Chelsea wakachukua ubingwa tena 2017 na msimu uliofuata wakamaliza Ligi wakiwa nafasi ya 5.
Manchester United walikua mabingwa EPL 2013 lakini msimu uliofuata wakaambulia nafasi ya 7 EPL.
Sasa ajabu nini sana Liverpool kupambana angalau apate hata kushiriki Eurupa.
YNWA




Liverpool hata next season mtayumba, sioni mkibadilika kutoka ktk hali hii mliyonayo sasaDuuh jitahidi kua na maneno ya akiba.
Bila kutazama miaka ya nyuma sana. Hivi karibuni 2016 Leicester walichukua ubingwa EPL je msimu uliofuata hata top 6 hawakupata na walimaliza msimu uliofuata nafasi ya 12.
Chelsea nao wakachukua ubingwa 2014 2015 na hata hio Top 6 hawakufika walimaliza msimu uliofuata wakiwa nafasi 10.
Chelsea wakachukua ubingwa tena 2017 na msimu uliofuata wakamaliza Ligi wakiwa nafasi ya 5.
Manchester United walikua mabingwa EPL 2013 lakini msimu uliofuata wakaambulia nafasi ya 7 EPL.
Sasa ajabu nini sana Liverpool kupambana angalau apate hata kushiriki Eurupa.
YNWA
Duuh jitahidi kua na maneno ya akiba.
Bila kutazama miaka ya nyuma sana. Hivi karibuni 2016 Leicester walichukua ubingwa EPL je msimu uliofuata hata top 6 hawakupata na walimaliza msimu uliofuata nafasi ya 12.
Chelsea nao wakachukua ubingwa 2014 2015 na hata hio Top 6 hawakufika walimaliza msimu uliofuata wakiwa nafasi 10.
Chelsea wakachukua ubingwa tena 2017 na msimu uliofuata wakamaliza Ligi wakiwa nafasi ya 5.
Manchester United walikua mabingwa EPL 2013 lakini msimu uliofuata wakaambulia nafasi ya 7 EPL.
Sasa ajabu nini sana Liverpool kupambana angalau apate hata kushiriki Eurupa.
YNWA
Umemjibu kibigwa sana huyu jamaa wa City. Hanaga kumbukumbu kabisa.![]()
Ingekua kutumia ela ndefu ndio kupata ubingwa basi tangu wametua mabilionea wenu hapo Ethad mngekua mabingwa wa EPL tangu 2008 mkichukua kila msimu na hata UCL mngekua nayo lakini mpaka sasa mpo kama hampo UCL.Kwa level mliyokuwa mmefika hata kama team kupolomoka tungewaona nafasi ya 3 au 4 uhakika ..
Lecister city kuchukua ubingwa ilikuwa kama bahati tu ndio maana wakarudu walikotoka haraka ..
Sasa hii Liverpool inakoelekea hata msimu ujao Hamna uwezo Wa kupambania ubingwa...
FSG wabahili, mtaweza nunua wachezani gani wa kuja kubadili hali iliyopo saizi ? Mnauwezo Wa kumwaga hata €200milion kuchukua wachezaji jibu ni kuwa hapana ?
Mnamsubili vvd na gomez ndio walete mabadilko ...
Miaka 30 loading ...![]()