Kamugy T
JF-Expert Member
- Sep 17, 2018
- 1,110
- 1,226
Brighton na west brom tu mmewashindwa hao Madrid mnawafungaje sasa
Nyie kuku mmeamkaje? Bado munalala tu au hamjui kesho tunaenda msulubisha Basha wenu madirid maana kwa kipigo Cha fainal ya 2018 na juzi robo fainal, basi sisi Kama Chelsea tumeamua kwa dhati kabisa kwenda kutowa kipigo kitakatifu hapo Spain ili kumaliza kabisa mzizi wa fitina maana nyie kuku mmekuwa wateja wazuri wa zidane.
Ni Bora muamini kwamba Chelsea atashinda kuliko kuweka matumaini kwa madirid halafu apigwe.
#CFC![]()




