Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Kwa sasa hivi hamuwezi kufunga chelsea Chelsea mabingwa wapya wa uefa 2021![]()
Mkuu kwa akili zako unajua hiyo ni Epl ,hiyo ni uefa champions league,nikukumbushe tu.
Hamtaamini kitakachowakuta.
Kwa sasa hivi hamuwezi kufunga chelsea Chelsea mabingwa wapya wa uefa 2021![]()
I saw this comingNamtaman chelsea ila naona kama tutakutana na Real Madrid
Huu ni upepo tu unapita.Mimi namshukuru Mungu kwa upande wangu hakuna jipya ninaloliona kwa sasa kwani Nimeshashuhudia wakati mbaya zaidi kwa Liverpool kuliko huu uliopo sasa.
Hali hii just ni ukumbusho tu kuwa tuwe tayari muda wowote kwa lolote kwani tunaweza kurudi tulikotoka.
Naona imekaa powa sana kwani Real Madrid hua ni hatari zaidi wakifika fainali hivyo bora tukutane huku mapema.
Uefa hawaja wahi kututoa kama sijakosea.hiyo sio Epl.
Chelsea tutawanywa supu mapema sanaila game zetu na chelsea CL huwa ngumu sana aisee, bora watolewe na Porto
Kisasi cha kufa mtu, aisee patachimbikaFainali ilee nyeupe
Man, what a coincidence
Miaka ya 2008 na 2009 blues walitublock sana, nakumbuka Kuna ile game Ivanovich ndo mgenimgeni akatuweka mbili pekeyakeWamewai nusu fainali ya 2008 John rise alijifunga dk za mwisho Anfield tukatoka 1-1, tukaenda Stamford bridge game ikaisha 1-1 etra time Drogba akatuua 2 babel akachomoa moja game ikaisha 3-2
True mzee, hawa jamaa ni mkosi kwetu kwenye hizi final stages, sema this time patachimbikaila game zetu na chelsea CL huwa ngumu sana aisee, bora watolewe na Porto
Japo natamani psg walipe kisasi chaoharufu ya final vs bayern nainusa mazee