Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Mimi namshukuru Mungu kwa upande wangu hakuna jipya ninaloliona kwa sasa kwani Nimeshashuhudia wakati mbaya zaidi kwa Liverpool kuliko huu uliopo sasa.

Hali hii just ni ukumbusho tu kuwa tuwe tayari muda wowote kwa lolote kwani tunaweza kurudi tulikotoka.
Huu ni upepo tu unapita.

Haya kwenye mpira hua hayakosekani.

Tutarejea msimu ujao bila shaka imara zaidi kwa kua tunatarajia nguzo kuu pale nyuma wakiwa wamepona na kua fiti kwa mapambano.

Tunatarajia usajili pia angalau wachezaji watatu MFmmoja, Strika mmoja namba 9 na Winger mmoja.

Kabak watafanya analysis msiku ukiisha kama ana fit kwenye mipango ya Klopp.

Twatarajia pia safisha ya nguvu ya hawa dead Woods wote kutoa nafasi na pesa kununua wengine wenye kupadisha hadhi benchi letu.

Ifahamike tupo tulipo kwa sasa kwa kukosa depth ya kukosi. Hilo ndio la kushughulikiwa mara moja na tutakua salama kabisa kwenda mbele msimu mpya.

YNWA
 
Wamewai nusu fainali ya 2008 John rise alijifunga dk za mwisho Anfield tukatoka 1-1, tukaenda Stamford bridge game ikaisha 1-1 etra time Drogba akatuua 2 babel akachomoa moja game ikaisha 3-2
Miaka ya 2008 na 2009 blues walitublock sana, nakumbuka Kuna ile game Ivanovich ndo mgenimgeni akatuweka mbili pekeyake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom