Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Defending wote mnaacha nafasi kubwa nyuma.

Ndo maana mkikutana na timu zinazopiga counter hamtoboi.
Hata Manchester City wana defend kama sisi pazuri ni pale anao wachezaji wazuri na wenye uelewe mkubwa kusoma mchezo.

Kwa hizi mechi 3 za hivi karibuni naona pale nyuma pameanza kukaa sawa.

Hopefully hatutapata majeruhi wapwa pale nyuma.

YNWA
 
Kibonde? Mtu alikula RED card na akafuzu mbele ya braza mwenye balon D'or zake 5

Waliotea tu kama sisi tulivyomuotea AC MILAN mwaka 2005.

Hapa kumuotea AC MILAN kwa wale walioisoma kwenye Magazeti hii Fainali ya mwaka 2005 najuwa wengi watanipingi lakini kwamimi niliyepigwa na Mvua Kibanda umiza kufuatilia hii game basi nasimamia kuwa hatukuwa na uwezo kimpira wa kumfunga AC MILAN but tuliotea na tukafanikiwa lakini ndani ya dakika 120 tulibana Kende mwanzo mwisho.
 
Angalia huyu naye ..umesahau mlikula bao tatu Pepe Reina anashikwa shikwa na Didier Drogba anageuzwa geuzwa kama chapati? Kweli nyie ndo mamluki wa juzi kati mmekuja baada ya liverpool kupata mafanikio.
#CFC


Unaijua tofauti yetu (Liverpool) na yenu (Chelsea)?

Sisi tulimfunga Chelsea tukaenda Fainali kubeba Kombe, hivyo umeingia kwenye rekodi ya kuwa tumebeba kombe kuipitia Mgongo wako.

But Chelsea alitutoa sisi hatimae akenda kutanua Makalio kwa Man Chester United akapigwa.

Akaja kututoa tena kwa mara ya pili hatimae akaenda kutanua Makalio kwa Barcelona akatolewa.
 
I see this coming bro, a 7th on the champions wall
Ozan na Nat Philips wakiwa syncronized vizuri na timu nzima no one can stop us!!

YNWA🔥
Nats is a monster in the air. He just need to upgrade his alertness and quick reaction and can see us safely sending Galaticos packing.

Kabak should be signed he has potential kind of our Jone Stones.

YNWA
 
Waliotea tu kama sisi tulivyomuotea AC MILAN mwaka 2005.

Hapa kumuotea AC MILAN kwa wale walioisoma kwenye Magazeti hii Fainali ya mwaka 2005 najuwa wengi watanipingi lakini kwamimi niliyepigwa na Mvua Kibanda umiza kufuatilia hii game basi nasimamia kuwa hatukuwa na uwezo kimpira wa kumfunga AC MILAN but tuliotea na tukafanikiwa lakini ndani ya dakika 120 tulibana Kende mwanzo mwisho.
Winning is winning bro, it's all about the mentality!
Kama vijana wangeicheza ile game wakiwa na mawazo kama hayo walahi nakuambia wasingeshinda
Ndio maana tunajiita 'the mentality giants'
Mifano iko mingi sana, game yet barca ile ya 4-0, Leicester kubeba ligi, Porto ya Mourinho haswa game yao v man utd, Spain world cup 2010 na mingine kedekede
Usipojiamini hata uwe na kiwango %100 hutoboi, na hii inaaply popote pale
 
Nats is a monster in the air. He just need to upgrade his alertness and quick reaction and can see us safely sending Galaticos packing.

Kabak should be signed he has potential kind of our Jone Stones.

YNWA
Nat kwa aerial duels mpaka anazidisha 😂😂 ni mkali, ozan's a very ambitious kid we should definitely recruit him permanently
 
Unaijua tofauti yetu (Liverpool) na yenu (Chelsea)?

Sisi tulimfunga Chelsea tukaenda Fainali kubeba Kombe, hivyo umeingia kwenye rekodi ya kuwa tumebeba kombe kuipitia Mgongo wako.

But Chelsea alitutoa sisi hatimae akenda kutanua Makalio kwa Man Chester United akapigwa.

Akaja kututoa tena kwa mara ya pili hatimae akaenda kutanua Makalio kwa Barcelona akatolewa.
Dah umemchinja vibaya mwana 😂😂🙌🏿
 
😂😂😂😂😂Yaaani dogo ni ngumu kuamini alikua auzwe huyu.

Akipona VVD, Gomez na kwa sapoti ya Kabak na Phillips tupo imara sana pale nyuma.

YNWA
Kabisa ye mwenyewe anasema alikua hajui hatma yake ila anashkuru mungu mabraza wameumia😂😂😂
VVD anarudi May mosi, Gomez na matip ngoma mpaka mwez wa nane hio tuwasahau tu kwa sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom