Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Historia inahitaji kujirudia hapa, ngoja tungoje uenda muda ukawa mwalimu mzuri sana
Historia inahitaji kujirudia hapa, ngoja tungoje uenda muda ukawa mwalimu mzuri sana
wamewahi kututoa mkuu, nafikiri wametutoa mara 2!Uefa hawaja wahi kututoa kama sijakosea.hiyo sio Epl.
wamewahi kututoa mkuu, nafikiri wametutoa mara 2!
kuna game walitupiga anfield (3-0 kama sijakosea), darajani 1st half tuliongoza 2-0 then 2nd half mambo yakabadilika game ikaisha 4-4
.then kuna mwaka tulitolewa nakumbuka John Riise alijifunga (mpira ulimgonga reina akapotea,,.....) nakumbuka sana Riise alivyolia mwishon mwa game, socre 1-1
Definitely will take 7 any day of the week.
Naomba uongeze sauti uwaamhie ndugu zako humu ndani.ila game zetu na chelsea CL huwa ngumu sana aisee, bora watolewe na Porto
Umezaliwa jana eh? Nadhani umewailiza jana.Uefa hawaja wahi kututoa kama sijakosea.hiyo sio Epl.
Naona wewe una kumbukumbu nzuri. Kuna mwezako nmeona anasema hakumbuki kama amewahi tolewa na chelsea kwenye UEFA.Miaka ya 2008 na 2009 blues walitublock sana, nakumbuka Kuna ile game Ivanovich ndo mgenimgeni akatuweka mbili pekeyake
Historia inahitaji kujirudia hapa, ngoja tungoje uenda muda ukawa mwalimu mzuri sana
Mara ya mwisho chelsea kuchukua UEFA.
We differ in ages, but we the same flock. The brother needs to be informed n that's a task we can manage.Naona wewe una kumbukumbu nzuri. Kuna mwezako nmeona anasema hakumbuki kama amewahi tolewa na chelsea kwenye UEFA.
Istanbul tena, tuna kibanda pale, mashabiki ndo usipime yan waturuki wa kumwaga ni wanetu toka siku ileDefinitely will take 7 any day of the week.
Istanbul ni nyumbani kabisa.
YNWA
Tuanzie hapo, Porto nao wana record yao ya kutimizaMara ya mwisho chelsea kuchukua UEFA.
1. Walitimua kocha katikati ya msimu sababu timu ilikuwa inafanya vibaya. (Hili limetimia)
2. Walicheza robo finali na bingwa wa Ureno. (Hili pia limetimia sasa)
Tunaangalia na form ya timu pia.Tuanzie hapo, Porto nao wana record yao ya kutimiza
Walibeba UCL ya kwanza 1987, ya pili 2004
ukicheki hapo ni baada ya miaka 17, leo miaka 17 imepita tangu wabebe ya mwisho wakiwa na Mou
Nao wanasema 'historia itajirudua'
Wacha tuone maake naona kila mtu ana record zake
Ila nikishauri tu kama kuna mkeka wa nani atabeba weka LFC, utakuja kunishukuru
Angalia huyu naye ..umesahau mlikula bao tatu Pepe Reina anashikwa shikwa na Didier Drogba anageuzwa geuzwa kama chapati? Kweli nyie ndo mamluki wa juzi kati mmekuja baada ya liverpool kupata mafanikio.Uefa hawaja wahi kututoa kama sijakosea.hiyo sio Epl.



Uefa hawaja wahi kututoa kama sijakosea.hiyo sio Epl.
Form?Tunaangalia na form ya timu pia.
Kabisa, patachimbika damu kumwagika!!!Q3 na Q4 ni mechi za visasi
Leipzig hawapo clinical kwenye finishing. Wala hata sijashangaa.Form?
Ulijua kama tutamtoa RB leipzig? Kwa aggregate ya 4-0?
Kibonde? Mtu alikula RED card na akafuzu mbele ya braza mwenye balon D'or zake 5Chelsea kapata kibonde ili akifika Nusu ajione ana ubavu wa kupambana