Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Klopp ni moja wa makocha wanapenda kua unpredictable. Angalia mechi nyingi baada ya ujio wa kabak na devies wengi tuliamini watachezeshwa hao then faby na hendo watolewi huko nyuma mambo yakabaki hvyo hvyo. aliyorudi faby kutoka injury tulitarajia atacheza kabak na philips then faby aende mid ila ikawa kinyume hii ilizungumzwa na media nyingi, akaona isiwe tabu mkiwazacho sio changu.

Haitakua surprise next match faby akapigishwa mkoba na kabak.
Tazama sub zake",. Ni unpredictable pia mnatarajia atoke mmoja wa front three hana mchezo wa maana anaachwa, anatolewa Jones anaingia milner.

Klopp ni moja wa makocha viburi kweli kweli faida yake ni akiwa kwenye peak mtampenda ila akivurunda kama sasa ndio mtamchukia kwa kiwango kikubwa hua anatoa karaha sana.

Ila kwa mimi nitakua nyuma ya Captain Marvelous kwa KLOPP-OUT
FSG wapo nyuma ya Klopp wanajua vyema ndio wamemwangusha sokoni kwa sapoti finyu na timing mbaya za kununua wachezaji.

Ki ukweli huyu dogo Phillips japo anakosa spidi na long passes ambazo ni silaha muhimu sana kwa beki anaowaamini Klopp lakini defence jobs anajitahidi sana tu nadhani experience yake kule Stuggart inachangia sana.

Kabak is due to make mistakes once in while he still adapting and learning under Klopp tutelage hivyo as days goes he will become better.

Vs RB tuliona kwa nini kila mchezaji kwa kweli aachwe acheze nafasi yake pale ambapo hali inaruhusu. Tuliona Fabinho kazi kazi huku defence wakicheza kwa kujiamini kwa kujua mbele yao yupo DM Fabby. Hatujaona tukicheza mpira mzuri ule kwa muda sana aisee.

Milner haha labda kuna kipengele kwenye mkataba kinachosema akiwa mzima lazima acheze maana Klopp anavyokomaa nae yaaani na babu miguu imechoka sana tu.

This Nazi kwa jeuri/kiburi nk ndio mwenyewe yaaani huyu hapangiwi kabisa yaani na kama unavyosema akiwa kwenye peak ndio the best gaffer ma hugs, ma smile, full ushindi tu ila pale timu ina lost kama sasa anatia huruma casting that lost face mpaka aibu aisee.

In Klopp i trust.

FSG wajitazame sokoni hatuna muda wa trials tunahitaji ready made players waje kusaka taji la 20 EPL next season.

Na huyu Salah awe decided sio yeye anasema hili huku wakala wake akisema mengine. Na pazuri Liverpool hawana muda na waropokaji. Tunachotaka ni ushindi tu bla bla za wakala apeleke huko.

YNWA
 
Skipper bado hajapona kuleta leadership kwenye Timu ndiyomana tunafungwa.

we are lacking his leadership skills!
we are lacking his energy in the middle of the park!
we are lacking his influence in the dressing room!
we are lacking blah blah blah utadhan ana uwezo kama debruyine au pirlo enzi zake!


media za uk washenzi sana!
 
Adjustments.jpg
 
Liverpool will target at least one new attacker in the summer, regardless of how this season ends for them. #awlfc [@neiljonesgoal]


HAPA
REGARDLESS OF HOW THIS SEASON ENDS FOR THEM.

Kuna kajambo hukp kwenye usajili.
 
Liverpool will target at least one new attacker in the summer, regardless of how this season ends for them. #awlfc [@neiljonesgoal]


HAPA
REGARDLESS OF HOW THIS SEASON ENDS FOR THEM.

Kuna kajambo hukp kwenye usajili.
Hilo lipo wazi pale mbele inabidi kuleta damu changa mpya japo tunahusishwa na Halland naona ngumu maana bei yake ni £110m...
Zipo fununu dogo anawindwa na Manchester City, Manchester United, Chelsea, Bayern Munich, Juventus, Barcelona na Real Madrid. Hapo kwa timu za Uhispania labda wapate mkopo ama wauze wachezaji maana wapo hoi kipesa.
Chelsea inasemekana Pulisc anaweza kuuzwa ku fund hio dili.

Pep akishamtoa Aguero naona mazima aidha kwa huyu dogo ama Lukaku.

Liverpool sielewi maana FSG ni buy to sell sasa kwa hio bei utawauza wachezaji wangapi ili ku fund dili hio.

YNWA
 
LIVERPOOL TEAM NEWS

Team to play Wolves:
Alisson, Alexander-Arnold, Phillips, Kabak, Robertson, Wijnaldum, Fabinho, Thiago, Mane, Jota, Salah.

Subs: Adrian, Milner, Keita, Oxlade-Chamberlain, Jones, Tsimikas, Shaqiri, R Williams, N Williams.

Come on Reds make us happy.

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom