Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Klop out gerrad in
100% Kuna wengine humu watakupinga kwa hili,Lakini muda utaamua tutakuja kuongea lugha moja tu SOON.Kitu pekee ambacho sitoona haya kukihoji ni Uwezo wa Klopp kwa sasa! Hakuna cha kuficha jamaa ameishiwa mbinu na hajui afanye nini.
Mlitaka afanye nini na average squad?Kitu pekee ambacho sitoona haya kukihoji ni Uwezo wa Klopp kwa sasa! Hakuna cha kuficha jamaa ameishiwa mbinu na hajui afanye nini.
nina maoni tofauti.......Klopp anabebwa na benchi lake la ufundi kiukweli
Na nikiri wazi hili benchi la ufundi lililopo ndio benchi bora kuwahi kuwepo LFC kwa modern football
Indeednina maoni tofauti.......
kwangu la benitez lilikua bora sana, sana ila aliangushwa na matajiri kwa kiasi kikubwa!
some people will rate JK, but i think RB was the best all round,.......
10 mkuu, katika game 12 zilizopita tumechukua point 10Tumebakisha mechi ngapi ligi iishe? Tumechakaa tayari
Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app





MdondoJogoo ana shida gani jamani?
mkuu kudefend tuna defend vizuri kwa mtazamo wangu (maana tumefungwa moja), vipi foward zetu!Still can't score , Still can't Defend......Watakuja watu watakwambia hili ni tatizo la FSG.
