Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hivii kwa nini Milna anapangwa badala ya vijana tutakao wategemea.

Na ni kwanini alikua hamuamini Phlps?.

Mbona kama huyu kocha hajiamini na mbinu zake mpaka kukariri watu walewale?

Kumfunga Fulham wala hakuhitaji wold clas
 
Hivii kwa nini Milna anapangwa badala ya vijana tutakao wategemea.

Na ni kwanini alikua hamuamini Phlps?.

Mbona kama huyu kocha hajiamini na mbinu zake mpaka kukariri watu walewale?

Kumfunga Fulham wala hakuhitaji wold clas
Klopp hakuwai kutegemea haya anayaona sasa hivyo usishangae kabisa ndugu...

Hilo la kua mbishi kua na imani kwa baadhi ya wachezaji kwa kweli linashangaza wengi.

Tazama Chelsea wachezaji wale wale mbinu mpya na kuaminiwa na kocha na msimu wao umebadilika.

Tutaelewana tu.

YNWA
 
Hivii kwa nini Milna anapangwa badala ya vijana tutakao wategemea.

Na ni kwanini alikua hamuamini Phlps?.

Mbona kama huyu kocha hajiamini na mbinu zake mpaka kukariri watu walewale?

Kumfunga Fulham wala hakuhitaji wold clas

Unataka arudi tena kwenye Vyombo vya habari kujisafisha kwanini alimtoa Milner uwanjani?
 
Taratibu Mchele na Chuya vinaanza kujitenga! Tutabakia walewale tuliokuwa na Striker David Ngog na Voronin, wale waliokuwa wakileta tafrani hapa kwa kuwaona kina Salah na Mane wanatupia wakadhani hatukutokea kwenye Mateso naona wameshaanza kupotea! Hii ndiyo Liverpool jamani.

Sadly ni kwamba uzi amesutiwa Captain Marvelous pekee.
hahaaaaaaaaa
 
Adjustments.jpg
 
Taratibu Mchele na Chuya vinaanza kujitenga! Tutabakia walewale tuliokuwa na Striker David Ngog na Voronin, wale waliokuwa wakileta tafrani hapa kwa kuwaona kina Salah na Mane wanatupia wakadhani hatukutokea kwenye Mateso naona wameshaanza kupotea! Hii ndiyo Liverpool jamani.

Sadly ni kwamba uzi amesutiwa Captain Marvelous pekee.
Naona wale mamluki wengi walioibukia juzi juzi na kufanya kuwa na fan base kubwa washaanza kupotea ..nakumbuka msimu fulani hapa 13/14 hakukuwa na utitiri mkubwa hivi.
 
Hivii kwa nini Milna anapangwa badala ya vijana tutakao wategemea.

Na ni kwanini alikua hamuamini Phlps?.

Mbona kama huyu kocha hajiamini na mbinu zake mpaka kukariri watu walewale?

Kumfunga Fulham wala hakuhitaji wold clas
Klopp ni moja wa makocha wanapenda kua unpredictable. Angalia mechi nyingi baada ya ujio wa kabak na devies wengi tuliamini watachezeshwa hao then faby na hendo watolewi huko nyuma mambo yakabaki hvyo hvyo. aliyorudi faby kutoka injury tulitarajia atacheza kabak na philips then faby aende mid ila ikawa kinyume hii ilizungumzwa na media nyingi, akaona isiwe tabu mkiwazacho sio changu.

Haitakua surprise next match faby akapigishwa mkoba na kabak.
Tazama sub zake",. Ni unpredictable pia mnatarajia atoke mmoja wa front three hana mchezo wa maana anaachwa, anatolewa Jones anaingia milner.

Klopp ni moja wa makocha viburi kweli kweli faida yake ni akiwa kwenye peak mtampenda ila akivurunda kama sasa ndio mtamchukia kwa kiwango kikubwa hua anatoa karaha sana.

Ila kwa mimi nitakua nyuma ya Captain Marvelous kwa KLOPP-OUT
 
Taratibu Mchele na Chuya vinaanza kujitenga! Tutabakia walewale tuliokuwa na Striker David Ngog na Voronin, wale waliokuwa wakileta tafrani hapa kwa kuwaona kina Salah na Mane wanatupia wakadhani hatukutokea kwenye Mateso naona wameshaanza kupotea! Hii ndiyo Liverpool jamani.

Sadly ni kwamba uzi amesutiwa Captain Marvelous pekee.
Halisi yupo wapi siku hizi",.?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom