Klopp is a coward manager i have ever seen before.Klopp tangu atue Kops haya ya sasa ni mapya kwake hajawai kua na hali hii kabisa na ndio sasa atuonyeshe ubora wake kwa wachezaji alionao na si kingine.
No excuses kukosa Big 4 yaani haikumbaliki japo dalili ndio hizo ndugu.
Nadhani alikomaa sana na defence na kusahau kule mbele hakuna magoli wala hakuna shoti on target za maana karibia kila gemu.
Gini na Thiago wapo hoiii... Huu ndio ulikua wakati mwafaka Klopp kujaribu new ideas maana hata same old ideas bado tunapigika vile vile yaani why not be bold have 3 5 1 1 akimuacha Salah awe lone strika au hata 4 4 2 nk maana same old same old 4 3 3 bila proper defence imekua ni janga kwetu.
YNWA
Our downfall is well documented Mkuu hapa tunanipoza kwa maneno ila ukweli kabla ya mechi ya Atletico Madrid UCL mwaka jana yalisemwa humu sana...Na Top four tunaweza ikosa maana ni wazi Chelsea lazima Top Four mwaka huu
Hiyo nafasi iliyobaki Top Four tutagombania na Spurs , Spurs akikaza hatuingii top end come end of this season campaign
Soon mnaenda kuwa mid table timu ..
Level zenu manaenda kushindania nafasi ya 10 na arsenal ..
Uefa ,Europa mnaenda kuziangalia kwenye TV ..!
Mods fungeni huu Uzi ,mpaka miaka 30 tena ,hii timu mdogo mdogo inashuka chini kwenda championship..
Well summarised ndugu.psg tufanye nao biashara, wamchukue kati ya salah na mane mmoja watupe kylian....... kisha unaongeza mmoja!
cb so far ibaki kama ilivyo (huyu dogo kabak akabikishwe), akipona gomez na vvd, kisha una philips na williams wanatosha!
mido ongeza wawili tu, mwondoe gini na milner......,
jumla tusajili wachezaji wapya 4 au 5 wa kuingia 1st 11...... otherwise tutaendelea kulia
Klopp hapangiwi ndio maana hua hata wachezaji hawalaumu.Bila plan B msimuu huu utaendelea kuwa wa ovyo 433 is no longer working aje na mifumo mingine aache ubishi unamcost
matip pancha mno na yeye aiseee......Well summarised ndugu.
Ukiona wananunua beki ujue Matip safari imeiva.
YNWA
Inabidi ni chekeKwa hiyo Championship wanataka kusemaje?View attachment 1717973
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Kuishabikia Liverpool inahitaji kua na moyo wa chuma...Taratibu Mchele na Chuya vinaanza kujitenga! Tutabakia walewale tuliokuwa na Striker David Ngog na Voronin, wale waliokuwa wakileta tafrani hapa kwa kuwaona kina Salah na Mane wanatupia wakadhani hatukutokea kwenye Mateso naona wameshaanza kupotea! Hii ndiyo Liverpool jamani.
Sadly ni kwamba uzi amesutiwa Captain Marvelous pekee.
Klopp does the opposite he is expected.. Jana we expected Fabinho pale DM huku Kabak na Phillips wakicheza CBs lakini Fabinho huyoo beki na Chelsea wakatawala haswa pale kati maana viungo wetu walikamatika likua side ways useless passes hatakua na plan A wala B wala C...Klopp is a coward manager i have ever seen before.
Kwa muktadha huu
Same tactics. Same formation. Same players. 3 concecutive seasons. Without reshuffle lazima ufeli.
Fine fsg wamezingua pesa vp mbinu na mifumo na rotation?
Mf. Angejaribu 3-4-3 or 3-5-2 kwa rotation ili TAA Robbo wapumzishwe kina salah Mane wapumzishwe kwa kupewa dk chache,.
Klopp signings zake ni sawa na haziamini kabsaaa fuatilia utajua wanachelewa kuingia kwenye timu. Mf. Minamino kina Tsimikas Devies hawajachezeshwa ili tujue ni mzuri au mbovu. Joe Enrique alihoji kuhusu mtu kama Davies.
Kuwachezesha faby na hendo ni uoga pia ni sawa hatukua na cb's but uwepo wa phillips alipaswa kumpartner na mmoja especially faby ili hendo aende kwenye mid. Jamaa anaacha natural cb bench anapanga mid wote kwenye defence role. Umetumia pair hiyo mechi tano nyumbani umepigwa kwa nini usirisk tu kuwachezesha natural cb hawa mid uwapeleke mid kupush timu?.
Kuna kipindi TAA aliumwa december alicheza Neco Williams dah.! Dogo ali impress sana fresh legs unaona akili mwili vyote vinaushirikiano. Badala yake akampiga neco bench akamrudisha TAA first ambaye anaoneka kuchoka sio yule tena.
Tge gaffer huenda ana mazoezi magumu sana, huwez niambia timu 19 yako ndio iwe na injury nyingi hivi.
Devies na Tsimikas wametoka first eleven regular sio injury prone ila huku wamekuja hata hawakumbukwi tena ni vitandani tu.
Alituambia anapenda kikosi kidgo sasa anacho akitumie, kweli mtu hupewa ukiombacho.
KLOPP HAS TO CHANGE HIS MINDSET ABOUT MANAGERIAL.
Mkuu upande wa signing hatujafeli aisee hilo Klopp siwezi kumlaumu maana alishalitolea maelezo alisema yeye anawaambia wenye timu na wao wenye mamlaka ya mwisho na mambo ya usajili.. Zipo taarifa Klopp alihitaji beki mapema January lakini wenye timu wakafunga vioo mpaka pale anaumia Matip ndio kuanza kukimbia kukimbia tukaja ambulia Davies na Kabak ambao kwa Klopp hawa sio serial starters mbali ni potential acquisition.Busines model ndio itatufelisha. Lazima wakubali utofauti wa Europe na America business in sport. Sasa mf. Wale nike huenda under this silly business model wameona watakula hasara sana.
Signings zetu zimekua za hovyo sana.
Ni £2m kushuka chini na wooote wametolewa ama mkopo au kuuzwa kabsaa.
Tusubiri tu. Mstari wa kwanza nimeuelewa vzuri.
Tatizo LA klopp kwenye kujiongeza huwa ni bure kabisa hata miaka 2 nyuma amekalili mfumo wa 433 kila mechi mwenzake pep kila game anakuja na style nyinine.kwa sasa una thiago,fabinho na Keita kwa nini asichezeshe timu 4123???Pia mfumo wa Klopp hauendani naye hii 433 haimfai Thiago
Kuishabikia Liverpool inahitaji kua na moyo wa chuma...
Ki ukweli Klopp na vijana wametupa good time kwa miaka 4 na ushee hivi kiasi mauchungu haya tulishasahau.
Klopp inabidi awe na kifua kujaribu mbinu mpya hizi za sasa ambazo kwa misimu minne zimetuletea mafanikio sasa zimefika mwisho aidha kwa kukosa wachezaji wake bora kua uwanjani kwa pamoja msimu huu..
Hahaha Ngog, Ryan Babel, Voronin, Lambert, Bellamy, Downing, Charlie Adams, Balotelli, Caroll nk haha name them we have seen them all and yet they failed to lift us to the summit. Yaani ilikua Liverpool tukimaliza msimu nafasi ya pili basi msimu unaofuata basi tunaangukia pua na kujikuta nafasi ya 5 mpaka 7 huku or worse. Ki ukweli hata haya ya sasa ni vile binadamu ni wepesi wa kusahau but we have been through WORSE than this yaani ilikua almost hii club itangazwe mufilisi enzi za Gillet and Hicks then came FSG and the rest is history...
Tuwe na subira haya ni mapito...
There is light at the end of the tunnel.
YNWA
kuna uwezekano dressing room haiko sawa, hili litajulikana mbele ya safari!Klopp does the opposite he is expected.. Jana we expected Fabinho pale DM huku Kabak na Phillips wakicheza CBs lakini Fabinho huyoo beki na Chelsea wakatawala haswa pale kati maana viungo wetu walikamatika likua side ways useless passes hatakua na plan A wala B wala C...
Labda upo ukweli baadhi ya maneno kusemwa kwamba Klopp hana kifua kwa baadhi ya Wachezaji klabuni na tumewaona wengine wakimkemea nk sasa aidha iwe kweli au la jahazi inazama na taratibu tunabaki na historia bla bla huku hata Klopp mwenyewe akionekana kuelemewa kabisa na jukumu lili mbele yake.... Yaaani kutoka from the most feared team in EPL to be the best losers in EPL history lol kweli maisha yanakwenda kwa kasi sana.
Klopp amekua akisema hakupata muda wa kutosha wa pre season kuwa na new dimension nk lakini hii kukosa preseason ni kwa wote sio Liverpool pekee hivyo hatuna cha kusingizia hapo...
Tuliongelea sana humu kukosa VVD, Matip na Gomez ndio mwisho wetu lakini sasa mambo yamegeuka ishu sio tena defence mbali ishu kuu ni kwamba hatufungi na shoti on target ndio kabisa zina zidi kupungua kila uchwao... Sikumbuki lini tumefunga goli ya kona huku tukiwa kama sikosei na EPL league high record ya corners..
4 3 3 has served its purpose with lots of success sasa ni muda tuone new ideas maana trying wont hurt us more than we are..
Manager kazi yake ni kuja na solutions kwa timu inavyochezea vipigo tena Nyumbani basi Klopp is failing miserably.
Muda ni mchache mno bado mechi 11 vile ligi iishe.
Sasa tulipofikia Liverpool kumaliza big 4 itakua na muujiza upo aisee na bonge la bahati...
YNWA
Have some respectkuna uwezekano dressing room haiko sawa, hili litajulikana mbele ya safari!
ila kitendo cha kumpanga milner mimi kinanipa ukakasi, something is going on....... its either klop na uongozi kuna maeneo hawakubaliani so klop anawaonesha kwa vitendo kwamba hawapo sahihi.......
shida ya hizi timu (utd &liver) zina uingereza sana, yani mchezaji wa kiingereza kama yupo liver au utd basi anapambwa hata kama uwezo wake ni mdogo sana!......
mfano, utd kulikua na jlingz, rashford, maguire lakni lawama zote alikua anapewa pogba, martial au fred.........!
liver tuna milner, headless hendo (sorry, kwangu huyu hakustahili kuvaa jezi ya liver tokea mwanzo), ox, kwa sasa ameongezeka TAA lakn lawama wanapewa kina Keita (wakat lipo pancha zaidi ox), salah& mane (wakat flan), saizi tumempata thiago....