Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jana nimeona front three yetu imejituma sana sana... Hii yote naamini ni sababu ya Jota kupona. Summer klopp alete Mbappe tu
 
Wee jamaa unakata tamaa mapema bana.

Siwezi sahau March 2012 Manure alikuwa mbele ya ManCity kwa 7 points with a game in hand lakini bado ManCity alikuja kum pip for the title.

Aisee mimi nipo nipo tu bado kwenye title race - huning'oi kirahisi hivyo aisee! 😀 😀
Bwana weee mm mwnyew hapa bado sielewi nawaza title tu.. mambo ya top four yatakuja tukisa title
 
Liverpool legend and former Scotland striker Ian St John, who partnered Jimmy Greaves on the much-loved Saturday football show Saint and Greavsie, has died at the age of 82
Former Liverpool and Scotland striker Ian St John has died at the age of 82.

The Scottish forward won two First Division titles under Bill Shankly at Anfield in 1963-64 and 1965-66 and scored the winner in the 1965 FA Cup final.

RIP legend John.

YNWA
 
Hakuna kitu kina mnyima raha bwana Pep kama kulikosa kombe la Champions League


Hizi ndiyo Faraja pekee kwa sasa tunayoringia! Eti Failure ya Man City UCL ndiyo tunachojifarijia sasa.
Hili ni anguko la kudhalilisha.


Mafanikio na Anguko la Man City has nothing to do kwenye kuboronga kwetu.

Sikubaliani kabisa na kuichukua Timu yetu yenye kila Historia kufanya Madhaifu ya Man City kuwa ndiyo Kigezo chetu! I hate it.

Ukiona Mtu anakwambia Mbona Pep/City msimu uliopita alifanya hili na Lile? Manayake anakubali ubora wa hiyo Timu/Kocha kuwa ni Mkubwa kuliko Wetu (Though kwa Kocha ni true) ndiyomana anatolea Mifano kuwa Wakati aliboronga City/Kocha aliye Mkubwa je kwa Liverpool si nako ni sawa?

Kuanguka kwa Liverpool kubaki kuwa ni la Liverpool tu tusitafute visingizio.

Anyway huu msimu umeshaisha tujipange next season
 
Adjustments.jpg
 
UEFA hii ambayo Olympices Lyon tu anakutoa nishai au kuna UEFA nyingine unayoisema Mkuu.
Wewe atletico alikufanyeje ,sikakutungua goli za kutosha hapo anfield 16 bora ukawa umefunga vilago au unasemaje mkuu
 
Wewe atletico alikufanyeje ,sikakutungua goli za kutosha hapo anfield 16 bora ukawa umefunga vilago au unasemaje mkuu
Aston villa ana Champions 1 Manchester city anazo ngapi........Kama Pep ni Mwanaume kweli Akaipe Manchester city UEFA CHAMPIONS LEAGUE kwanza tuone jeuri yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom