M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
Issue ni regularity.hata hao akina origi wakiwa period huwa wanaupiga mkubwa, na wao wabakizwe tu.
Issue ni regularity.hata hao akina origi wakiwa period huwa wanaupiga mkubwa, na wao wabakizwe tu.
Jamie Carragher has insisted Liverpool must sign three players capable of coming into their first-choice XI in the summer transfer window.
He believes the club need to sign a centre-back, a replacement for Gini Wijnaldum and an attacker capable of dislodging the current front three.
NAKUBALIANA NAYE CARRAGHER
Mkuu Unamtukana kiongozi wako wa LIVERPOOL HALISI eeh?Tunaposema tufanye usajili wa kuboresha baadhi ya Maeneo muhimu tunaambiwa Klopp anajua zaidi kuliko sisi. Sisi hatujui chochote.
But sasa amekuja huyu Carragher anayejua mpira kwa kuucheza na si kuuona kwenye TV. One of our greates Legend aliyeipigania Timu na kusimama imara kwenye CL final yetu dhidi ya AC Milan dhidi ya Magwiji kina Pirlo na Shevchenko mpaka akadeliver gold medal, anapita mulemule tunamopita sisi kwamba Timu yetu inahitaji Wachezaji 3 muhimu wa kuanza kikosi cha kwanza na si back-up.
Amewataja kuwa ni:-
1) Centre Back
2) Centre Forward
3) Replacement ya GINI (Mido)
Sasa hapo ameongea Carragher, lakini tunapoongea sisi anatokea Kenge mmoja kutoka kwenye Vichuguu vya Milima ya Machame anaharisha hapa eti Klopp anajua zaidi.
Pumbav
Mathematically we are contenders for Top 4 and it will take a bit of huge luck for us Cityzen ku drop points 10 ndugu...Nah.
Never say never die.
Mathematically, we can still be champions although it's not 100% in our hands. It's not over until it's over!
Milner is finished we play high intensity football and he dont have those legs anymore.. Huyu anachelewesha sana mashambulizi na pia ku win second balls which is our main aspect...I'll keep Milner. He's a machine on his day.
I'll sell the rest. In fact, I'll drive Keita myself to a willing suitor for free!
Wee jamaa unakata tamaa mapema bana.Mathematically we are contenders for Top 4 and it will take a bit of huge luck for us Cityzen ku drop points 10 ndugu...
Lets be realistic ndugu..
YNWA
You are right, but he has got his days (not many, but he has got a bit of those).Milner is finished we play high intensity football and he dont have those legs anymore.. Huyu anachelewesha sana mashambulizi na pia ku win second balls which is our main aspect...
We need kuwatoa hawa high earners Keita na Milner kwenye payroll wapishe damu changa...
He is no more and those days you say to me he is finished article yaani moyo unataka lakin mwili unakataaa...
YNWA
Uliona ile anasema Klopp has to some very tough explanation to answer whats is transpiring on the field point wise..Tokea juzi nanfuatilia Carragher nimegundua kuwa kuna kitu anataka kusema lakini anajaribu kuwa mpole
Hahahaha upo sahihi ndugu...Wee jamaa unakata tamaa mapema bana.
Siwezi sahau March 2012 Manure alikuwa mbele ya ManCity kwa 7 points with a game in hand lakini bado ManCity alikuja kum pip for the title.
Aisee mimi nipo nipo tu bado kwenye title race - huning'oi kirahisi hivyo aisee! 😀 😀
You are weak! 😀 😀Hahahaha upo sahihi ndugu...
Nimesema all is possible but for that to happen we need a bit of luck ndugu..
We need luck Manchester City apigike gemu 3..
We need super luck Liverpool washide gemu 3 mfululizo and mark you we are fourth now meaning before we think of Manchester City we have to dethrone Leicester na Stretford boys in 3rd and 2nd so then we can aim for Manchester City who as we speak have a game in hand haha..
Sija give up kaka ila kwa form tulionao na wachezaji ni kama vile unavyoona naona nikumbali hali ya sasa...
YNWA
In that essence bro why not take risk with new blood Jones he has shown he has the guts and the will to compete in this league...You are right, but he has got his days (not many, but he has got a bit of those).
But kuhusu kuchelewesha moves za mashambulizi hii naona hata Thiago is even worse.
Ku slow down tempo naona ni kaugonjwa kameikumba timu nzima kwa sasa - which is understandable considering a 3-consecutive seasons full-throttle footie.
city yupo 10pts ahead with a game in hand........ kwaio adrop 13 points sisi tusidrop! NDOTOMathematically we are contenders for Top 4 and it will take a bit of huge luck for us Cityzen ku drop points 10 ndugu...
Lets be realistic ndugu..
YNWA
Hahaha am being realistic rather than being a dreamer hahaha...You are weak! 😀 😀
Mwambie M-mbabe labda atakuelewa..city yupo 10pts ahead with a game in hand........ kwaio adrop 13 points sisi tusidrop! NDOTO
King Ngwaba fala sana, Leo usiku tuna kikao cha kumtoa kwenye group letu la HALISI, tunaongozwa na maombiMkuu Unamtukana kiongozi wako wa LIVERPOOL HALISI eeh?
Mkuu ,Wee jamaa unakata tamaa mapema bana.
Siwezi sahau March 2012 Manure alikuwa mbele ya ManCity kwa 7 points with a game in hand lakini bado ManCity alikuja kum pip for the title.
Aisee mimi nipo nipo tu bado kwenye title race - huning'oi kirahisi hivyo aisee! 😀 😀
Kwenye title race huning'oi ndugu!!Mkuu ,
Inawezakana yale mafuta ya Mwamposa na wewe uliyakanyaga nini??? Sio kwa imani hiyo.