Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
Klopp hapangiwi bora wakae kimya...Carragher ameongea Vizuri sana baada ya kufungwa na City.
Amesisitiza kuwa 'Reshape' ya Squad yetu ni lazima
Chelsea hatunaga midomo mirefu
Tatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...
Unajua wakati mwingine usisubiri yakukute ndio ujipange.. Tazama kilichomkuta Manchester City na kukosa ubingwa wa 2019-2020 ilikua hivi kumuachilia Kompany bila kusajili mbadala wake matokeo yake akaja umia Laporte na Pep akajaribu kukomaa na Fernandiho kutoka DM na kumrudisha CB ambapo alichemka vimbaya mno na mwishowe tukachukua ubingwa.. Hili ilitakiwa iwe somo kwa Klopp wakati wanamwachia Lovren endapo wangesajili upya CBL immediately.. Sasa tunakuja kupata majeruhi Matip, Gomez na VVD imagine wewe ndio kocha huna plan B ya hap wachezaji zaidi ya kuchukua mchezaji wako bora pale Kati Fabinho kumrudisha CB sasa pengo la Fabinho nani wa kulizimba hayupo ndani ya Anfield..
Tukafika January 2021 badala wenye timu yao waingie sokoni chap na kumsapoti kocha walisubiri mpaka Klopp awatupie dongo ndio waka react na huku wameleta ma amateur playere sio proven na mpaka mida hii Klopp hajashawishika nao kuanza hata gemu moja..
Ki ukweli Klopp alivyowachana hawa wamiliki nilimwelewa yaani unaweza kuta pale chaguo lake ni Allison na VVD mbali wengine ni chaguo la wenye klabu yaaani kuna vimaneno fulani alisema nikabakie kutoa macho..
Kwa hio hayo ya kumsaidia kujenga kikosi sijui yataanza lini kwa hawa FSG kwani jamaa wanategemea maajabu ya Edwards na Klopp kuwavusha salama..
Everything has a beginning and an end and many of this current players have reached thier end we need new hungry blood...
YNWA
Lakini Klopp mnamponda bure, checki hizi bidhaa zilivyonunuliwa ghaliTatizo Klopp aliwaaminisha wenye timu yeye ni miracle worker na kikosi anachopewa yupo tayari kukomaa nacho mpaka mwisho matokeo yake hana like for like sub kwneye maeneo muhimu kipindi kama hiki tuna majeruhi...
Unajua wakati mwingine usisubiri yakukute ndio ujipange.. Tazama kilichomkuta Manchester City na kukosa ubingwa wa 2019-2020 ilikua hivi kumuachilia Kompany bila kusajili mbadala wake matokeo yake akaja umia Laporte na Pep akajaribu kukomaa na Fernandiho kutoka DM na kumrudisha CB ambapo alichemka vimbaya mno na mwishowe tukachukua ubingwa.. Hili ilitakiwa iwe somo kwa Klopp wakati wanamwachia Lovren endapo wangesajili upya CBL immediately.. Sasa tunakuja kupata majeruhi Matip, Gomez na VVD imagine wewe ndio kocha huna plan B ya hap wachezaji zaidi ya kuchukua mchezaji wako bora pale Kati Fabinho kumrudisha CB sasa pengo la Fabinho nani wa kulizimba hayupo ndani ya Anfield..
Tukafika January 2021 badala wenye timu yao waingie sokoni chap na kumsapoti kocha walisubiri mpaka Klopp awatupie dongo ndio waka react na huku wameleta ma amateur playere sio proven na mpaka mida hii Klopp hajashawishika nao kuanza hata gemu moja..
Ki ukweli Klopp alivyowachana hawa wamiliki nilimwelewa yaani unaweza kuta pale chaguo lake ni Allison na VVD mbali wengine ni chaguo la wenye klabu yaaani kuna vimaneno fulani alisema nikabakie kutoa macho..
Kwa hio hayo ya kumsaidia kujenga kikosi sijui yataanza lini kwa hawa FSG kwani jamaa wanategemea maajabu ya Edwards na Klopp kuwavusha salama..
Everything has a beginning and an end and many of this current players have reached thier end we need new hungry blood...
YNWA
Lakini Klopp mnamponda bure, checki hizi bidhaa zilivyonunuliwa ghali
- Virgil van Dijk - Southampton Β£75 million 1 January 2018
- Alisson - AS Roma Β£66.8 million 19 July 2018
- Naby KeΓ―ta - RB Leipzig Β£45 million
- Diogo Jota Wolves Β£41 million 19 September 2020
- Fabinho Monaco Β£39 million 1 July 2018
The ratings are a fair reflection of what actually transpired last night.LIVERPOOL player rating vs Mancity
Alisson - 2 ππππ
What happened? A couple of minutes, a couple of goals conceded, a couple of absolute howlers. The Liverpool goalkeeper may be one of the best in the world but his mistakes for City's match-winning double would be considered inexplicable at any level. To make one is perhaps understandable, but two? A shocker by any count.
Trent Alexander-Arnold - 5
Did well before the break, especially when going forward, but defensive frailties were exposed in the second half, most notably for City's opener when Sterling waltzed around him. Liverpool's brightest attacking spark, but his performance won't be remembered for that.
Fabinho - 5
Was this the afternoon when Liverpool's bad luck with defensive injuries finally caught up with them? The Brazil international looked increasingly ill at ease as the game progressed. Fortunate to escape full punishment for his penalty-conceding foul, a lazy trailing leg which in the era of VAR was never going to pass undetected even if referee Michael Oliver had missed it, and statuesque when covering for Alexander-Arnold on City's opener.
Jordan Henderson - 7
There is an idea that Fabinho's future may already be at centre-half. There is also a passing thought that so might Henderson's. Not merely because he has been so very accomplished in his new role but because there's no obvious reason to think that he will not go on prospering in the role. The Premier League does not do brickhouse centre-forwards any more. And it certainly does a lot of possession. So could Henderson be a trailblazer for more central midfielders dropping back into defence? Perhaps. In the immediate term, the only vexing issue for Henderson is whether Liverpool are missing his intensity in midfield.
Andy Robertson - 6
Beaten by Foden for City's fourth, although whereas Fabinho and Alexander-Arnold struggled to repel Sterling, Mahrez barely featured down Liverpool's left. Had some half-openings to create in the first half but could not find a killer cross.
Thiago - 5
An uncomfortable display will surely be followed by uncomfortable focus on whether his style of play is suiting Liverpool or perhaps even hampering it. Booked for an all-too-familiar foul in the opening minutes, Thiago then drifted into anonymity before being replaced on 67 minutes.
Georginio Wijnaldum - 6
On the fringes. Although Liverpool's midfield was not the weak link of their display, neither did their midfield three ever wrestle control.
Curtis Jones - 7
One of the few Liverpool players to impress. The youngster has not won over all Liverpool supporters but made an excellent covering tackle to deny Sterling a clean run through on goal early on and generally stood up well on the most elevated of stages. It was somewhat of a surprise to see him subbed at the same time as the disappointing Thiago.
Mohamed Salah - 6
So quiet prior to winning Liverpool's penalty that he may have hit the mute button. Converted the spot-kick with aplomb, but barely featured otherwise.
Roberto Firmino - 5
Did not appear to possess his usual levels of energy and only once - with a snap shot after 30 minutes that Ederson tipped - did he offer a direct threat of his own. Questions are bound to reappear about his contribution to the side when the front press is not a factor.
Sadio Mane - 6
Liverpool's best attacker, although that is not saying much on an afternoon when the 'fab three' fell flat.
Subs used
Xherdan Shaqiri - 6
James Milner - 6
Kostas Tsimikas - n/a
Source Sky.
YNWA
Mkuu hivi unajua ki stat Gomez yupo powa zaidi ya Matip..
Hizi ni stat za last season
Weβve taken a closer look at Liverpoolβs Premier League record with each of Matip, Gomez and Lovren starting at centre-back since the start of the 2018-19 season to the end of 2019 2020 season.
With Matip starting at CB
Games: 25
Wins: 19
Draws: 6
Losses: 0
Win rate: 76%
Loss rate: 0%
Points per game: 2.52
Goals conceded per game: 0.64
Clean sheet ratio: 48%
With Gomez starting at CB
Games: 30
Wins: 25
Draws: 3
Losses: 2
Win rate: 83.3%
Loss rate: 6.7%%
Points per game: 2.6
Goals conceded per game: 0.7
Clean sheet ratio: 53.3%
As the stats show, Liverpool have actually earned the fewest points per game with Matip starting over the past two seasons.
YNWA
Bundi alianza Emirate, akahamia Darajani, Akahamia Tottenham Hotspur Stadium na sasa yuko Anfield. Amenza kunusanusa tena Emirate labda anajiandaa kurudi huko akitoka AnfieldNaona mmepokea kijiti
Mkuu Lembu ingekua kununua ndio ushindi basi Chelsea msimu huu bingwa kwani walitumia zaidi ya Β£180m dirisha kubwa lakini tazama hali yao mpaka walitimua na kocha..Lakini Klopp mnamponda bure, checki hizi bidhaa zilivyonunuliwa ghali
- Virgil van Dijk - Southampton Β£75 million 1 January 2018
- Alisson - AS Roma Β£66.8 million 19 July 2018
- Naby KeΓ―ta - RB Leipzig Β£45 million
- Diogo Jota Wolves Β£41 million 19 September 2020
- Fabinho Monaco Β£39 million 1 July 2018
Haha mtuache ndugu old is gold...Safari hii mtaleta stat sana endeleeni kufukua makaburi tu.[emoji23][emoji23][emoji23]
Arejee Darajani naona yupo jirani kabisa kunishusha nafasi ya 5..Bundi alianza Emirate, akahamia Darajani, Akahamia Tottenham Hotspur Stadium na sasa yuko Anfield. Amenza kunusanusa tena Emirate labda anajiandaa kurudi huko akitoka Anfield
Duuh Origi yaani kuwafunga Barcelona na Everton ndio tupo nae mpaka leo..Toa Minamino kwa Mkopo weka Origi kwenye Benchi ππ
Toa Jones uwanjani ingiza Milner akatengeneze nafasi ππ