YNWA,twendeni kazi wakuu..si mnaona hali sio hali?.
Eti Klopp analalamika kwamba kilichowasaidia City ni mapumziko ya Covid ya siku 8.
Huyu jamaa tukiwa tunafungwa anaongea pumba sana.
Eti Klopp analalamika kwamba kilichowasaidia City ni mapumziko ya Covid ya siku 8.
Huyu jamaa tukiwa tunafungwa anaongea pumba sana.
Mkuu vipMkuu hayo mapumziko ya siku 8 unataka kusema hayo mapumziko city hayakuwapa faida yoyote walikaa tu kiasara? Mbona Baada hizo siku 8 city ndio wamebadilika mpaka leo?
Game na man city leo sina wasiwasi kabisa utaratibu wakugawa dozi ni uleule wa 3-1.
Mkuu sijapenda kusema jamaa anaongea pumba,me naimani tunarudi kwenye title contender Baada ya mechi ya leo.man United raundi ya 2 inamshinda tayari dalili tumeziona sio tena wakumuofia.
Kelele za man United zisitufanye tuone hatujui,na wakati sasa hivi tumerekebisha hapo nyuma kidogo naona sasa tutaanza kupata tulichokuwa tunataka na sasa hivi jota Baada ya wiki hivi anaweza kurejea hiyo front 3 itachangamka.
Aisee sioni sababu ya kutufunga leo
Mambo ya anfield sijui ,tayari ilishapasuliwa na burnely na brghton
Sasa pep aanatakiwa kuchanga karata zake vizur kuchukua point 3 mapema ........
Hata mimi najua hii ni kama fainal ,yeyote atakayekuwa na mbinu bora basi anatoka na point tatuMkuu hiyo mechi city leo,kushinda hawezi labda sare maana kwa liverpool ni kama imebeba hatima ya ubingwa msimu huu,japo watu hawazungumzi .hiyo ni fainali kwa liverpool ni muhimu sana washinde hiyo mechi.
Liverpool akifungwa hilo gap la point litakuwa kubwa sana na city atakuwa tayari anasubiria kutangazwa tu(kwa tunaojua mpira).
Mkuu hayo mapumziko ya siku 8 unataka kusema hayo mapumziko city hayakuwapa faida yoyote walikaa tu kiasara? Mbona Baada hizo siku 8 city ndio wamebadilika mpaka leo?
Game na man city leo sina wasiwasi kabisa utaratibu wakugawa dozi ni uleule wa 3-1.
Mkuu sijapenda kusema jamaa anaongea pumba,me naimani tunarudi kwenye title contender Baada ya mechi ya leo.man United raundi ya 2 inamshinda tayari dalili tumeziona sio tena wakumuofia.
Kelele za man United zisitufanye tuone hatujui,na wakati sasa hivi tumerekebisha hapo nyuma kidogo naona sasa tutaanza kupata tulichokuwa tunataka na sasa hivi jota Baada ya wiki hivi anaweza kurejea hiyo front 3 itachangamka.
Klopp kashapagawa aisee msimu huu uishe mbona atasema mengi..Eti Klopp analalamika kwamba kilichowasaidia City ni mapumziko ya Covid ya siku 8.
Huyu jamaa tukiwa tunafungwa anaongea pumba sana.
Tutakua contenders endapo leo tunatoka na pointi 3 muhimu sana huku pia tukitegemea Manchester City apoteze mechi zingine ina maana tunaanza ramli kuwaombea vipigo angalau vitatu lakini pia na sisi tushinde mechi zetu zote kuanzia sasa mpaka mwisho wa msimu...Hata mimi najua hii ni kama fainal ,yeyote atakayekuwa na mbinu bora basi anatoka na point tatu
Mimi binafs naamin liverpool bado ni title contenders ,
Linapokuja swala la kuamua match kama hii ,liverpool inakuwaga ngumu sanaaa
Mifano ipo mingi sanaaa
Mkuu Ladder 49 una roho ngumu yaani Liverpool hii bado una imani nayo kumstopisha Pep leo...Mkuu hiyo mechi city leo,kushinda hawezi labda sare maana kwa liverpool ni kama imebeba hatima ya ubingwa msimu huu,japo watu hawazungumzi .hiyo ni fainali kwa liverpool ni muhimu sana washinde hiyo mechi.
Liverpool akifungwa hilo gap la point litakuwa kubwa sana na city atakuwa tayari anasubiria kutangazwa tu(kwa tunaojua mpira).
Mbona ni kawaida hiyo kwa makocha kuongea kitu chochote kuwatetea wachezaji kwenye media hata pep mwenyewe kwenye clip zake za dressing room anawaambia wachezaji "nyie chezeni uwanjani ila kwenye press mm nitawabackup kwenye hali yoyote " so sidhan kama kuna siku itatokea klopp aanze kuponda kikosi hata kama wachezaji wamecheza utumboKwa hiyo sisi tunafungwa kwa sababu ya kutopata mapumziko?
Binafsi naonaga anaongea pumba sana tukishakuwa hatuna mwelekeo.
Today’s #LFC team: Alisson; Alexander-Arnold, Fabinho, Henderson, Robertson; Wijnaldum, Thiago, Jones; Salah, Firmino, Mané. #livmciLine up vipi huko
Angalau Jones yumo ndaniiiiiiii...Today’s #LFC team: Alisson; Alexander-Arnold, Fabinho, Henderson, Robertson; Wijnaldum, Thiago, Jones; Salah, Firmino, Mané. #livmci
Nilitamani Ozan na Henderson wacheze nyuma halafu Fabby akae DMToday’s #LFC team: Alisson; Alexander-Arnold, Fabinho, Henderson, Robertson; Wijnaldum, Thiago, Jones; Salah, Firmino, Mané. #livmci