Mkuu hao Manyumbu nilichokiona kwenye raundi ya pili hii hawana huwezo wa kuchukua point 3, zile goli 9 ilikuwa ile kadi iliwasaidia.
Me nilishaliona hilo,namna point walivyochukua raundi ya kwanza ilikuwa inatiashaka sana penalty hata azieleweki.
Na walivyo Manyumbu hawako vizuri kwenye kuzuia,soon tutawaacha hawatakuwa na huwezo wakuchukua point 3 zaidi ya sare au labda timu pinzani wacheze pungufu. Mechi ijayo ya Manyumbu na Wes bro itakuwa sare au wanakufa hao Manyumbu.
Tunachotakiwa kuchukua point 3 kwa kila mechi me naamini tunarudi kwenye nafasi ya kuchukua ubingwa.