BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,907
- 11,728
Naomba niulize swali..
Incase tukichukua League na takumi ameshacheza baadhi ya game za UEFA akiwa na LFC je atavaa medal kama kawaida???
Naomba niulize swali..
Epl kama akiwa Liverpool alishacheza mechi 5 basi anapata medal..Naomba niulize swali..
Incase tukichukua League na takumi ameshacheza baadhi ya game za UEFA akiwa na LFC je atavaa medal kama kawaida???
Sawa sawa kiongoz ngoja tusubir wenye ujuziEpl kama akiwa Liverpool alishacheza mechi 5 basi anapata medal..
Kwa Uefa sina hakika ni mechi ngapi..
YNWA
HahaaaaaMan City waje tu hata mchana huu tupo tayari
Huyu jamaa tumemwaribia career take aisee. Angeenda club kama dotmound angeenda ku shine aisee.
Nilitaka kukuonyesha idadi kubwa ya mabek tuliokua nao na tulivyowanunua (kuwapata)Kwa hiyo beki tuliyochukuwa UEFA na ligi ilikuwa TAA, Gomes, Matip na Robertson!
VVD hakuwepo.
Vipi mzeee hayo mavi ulokunya yatakuwa yameshakauka muda huu?nataka niyaone..teh teh tehMwaka huu mpaka mjinyee na kujikojolea mganga mliyekuwa mnamtegemea keshakufa kazi mnayo Next match vs Spurs mkishinda ntakunya kuanzia Ubungo hadi posta
Huyu klopp ameua kipaji cha Keita kaona aitoshi kaua na kipaji cha minamino.Ukiachana na Ufundi basi na Bahati ipo kwa Mwanadamu (Kwa hapa ni Mpira).
Mfano wa bahati hizo ni:-
- Kuuzwa lukaku kwasababu ya Martial.
- Kucheza Martial ahead of Cavani
- Kucheza Abraham ahead of Giroud
- Kucheza Origi ahead of Minamino
Naona leo bange umevutia kwenye shamba la miwaHuyu klopp ameua kipaji cha Keita kaona aitoshi kaua na kipaji cha minamino.
At this rate, 20/21 season anaweza kufikisha 40!