Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Michael Edwards is a Genius.

Timu nyingi kwa sasa zina tamani kama hivyo,maana wanatumia hela nyingi lakini hakuna mafanikio.

Msimu uliopita Man U ,alitumia hela nyingi sana kwenye usajiri lakini hakaambulia kucheza nusu fainali tu na kutoka mikono mitupu.

Msimu huu chelsea wametumia hela nyingi kwenye usajiri raundi ya kwanza tu wamefukuza kocha.
 
Last match nimeona jinsi gani wana hangaika asipokuwepo yule kiumbe
Manchester City bila KDB wanakosa ile top top creativity...

Tottenham bila Kane wanakosa output yake kuwaleta wengine mchezoni...

Hapa sasa ndio utaona utofauti wa Klopp na makocha wengine, yeye yupo kimfumo zaidi na sio ubora wa mchezaji mmoja mmoja ndio maana hata bila Salah ama Mane ushindi unapatikana tu..

YNWA
 
Timu nyingi kwa sasa zina tamani kama hivyo,maana wanatumia hela nyingi lakini hakuna mafanikio.

Msimu uliopita Man U ,alitumia hela nyingi sana kwenye usajiri lakini hakaambulia kucheza nusu fainali tu na kutoka mikono mitupu.

Msimu huu chelsea wametumia hela nyingi kwenye usajiri raundi ya kwanza tu wamefukuza kocha.
Hahaha hakuamka tu asubuhi moja akawa hivi kaanzia mbali sana tena kwenye mediocre teams hivyo he has been there to learn na sasa yupo kwenye kilele cha mafanikio shinda yangu bhana wasije wengine kumnasa kama Real Madrid, Barcelona, Juventus, Milan, PSG wakampa ofa nono atuache aisee...

YNWA
 
Adjustments.jpg
 
Na wenye majeruhi wataanza kurudi na kuungana na wengine ambao pia wako kwenye form,

Em vuta picha now tumeanza ku score then jota aongeze nguvu tena, cb zitakuepo hivyo bas fab na hndson watacheza nafas zao.

Kuna watu wataanza kusugua bench muda si mrefu..

Kwenye kila tatizo kuna faida pia, tatizo ambalo limetukuta mechi zilizopita limetupa faida em fikiria kama lingetukuta mwezi march au huu feb tungekuwa hatuna options,
Aisee kweli kuumia kwa Matip kumelata solutions ya CB tena wawili kwa mpigo..

Kweli kila tatizo lina faida..

YNWA
 
Hawa KABAK na DAVIES lazima wapambane kiushindani ili kila mmoja atakae kumzidi mwenzake kwa uwezo kwani atakapopona VVD basi mmoja atacheza na VVD mwengine atasugua Benchi au atarudi alipotoka.
Hivyo ni jukumu lao kupambana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom