Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Tumechukua uefa na ligi tukiwa na back line ya
#trent(dogo flan kutoka under 18 team)
#robertson(dogo flan alichukuliwa tu kutoka timu iliyokuwa inashuka daraja)
#gomez(kinda tu wa palepale anfield)
#matip(bek wa bure kutoka germany league)
So hatuko kwenye position ya kusema kwamba hii ni failed project or not
Kwa hiyo beki tuliyochukuwa UEFA na ligi ilikuwa TAA, Gomes, Matip na Robertson!
VVD hakuwepo.